Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Magufuli alikuwa very smart and fair kwaYaani hivi sasa nawaza kwa sauti,"hivi huyu CAG hii ripoti angeisoma mbele ya al marhum magufuri kuhusiana na hasara iliyoleta midege yake mpaka saa hii bado angekuwa kazini au angekuwa kijijini kwake"?
Kweli Magufuli ni shujaa, kusimama jukwaani na kusema ndege zinaleta faida kubwa kwa mauzo haya?Yaani hivi sasa nawaza kwa sauti,"hivi huyu CAG hii ripoti angeisoma mbele ya al marhum magufuri kuhusiana na hasara iliyoleta midege yake mpaka saa hii bado angekuwa kazini au angekuwa kijijini kwake"?
Ripoti za CAG
2015/16 hasara ilikuwa bilioni 94.3,
2016/17 iliongezeka ikafikia bilioni 109.3
2017/18 ilipungua na kuwa bilioni 113.
View attachment 1737095
Wakongwe hao Kenya Airways na hasara yao ya bilioni 750. Shirika linakuwa kwa sasa baada ya kuhuishwa upya obvious expenses zitakuwa juu, changamoto ya kisekta kutokana na ugonjwa etc
Wale walikuwa makada hawalipi nauliWadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Umeangalia miaka? Mataga vipiTunashukuru Atcl hasara kupungua kutoka Bilioni 113 hadi bilioni 60
Hasara tena🥱🥱🥱🥱🥱au Ni mabeberuWadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Hao ndipo....gharama vs mapatoKujaa so hoja. Running expenses zinaendana na revenue? Inaonyesha gharama za uendeshaji ni kubwa kuliko mapato.
Serikali ingeachana na mambo ya kufanya biashara, waachie sekta binafsi. Hiyo ndyo solution ya Kudumu.Unaweza mpeleka n’gombe mpaka kwenye maji, lakini uwezi mlazimisha kuyanywa.
Uwekezaji kwenye air Tanzania ulikuwa ni matumizi mabaya kwa sababu za return on investment tu. Inachukua zaidi ya miaka 5 mpaka10 kwa kila ndege kulipa uwekezaji wa awali pale ambapo shirika linapotengeneza faida.
Ukiangalia limited resources na investment nyingine zenye faida kwa jamii na kukuza mapato ya serikali ndege sio kipaumbele.
Na Magufuli alifanya kwa nia njema kwakweli, unaweza mlaumu kwa kununua ndege ila sio kwa shirika kupata hasara.
Kama raisi aliwanunulia ndege on cash na bado wana pata hasara that is a management issue uwezi laumu good will gesture serikali iliyowafanyia.
Watu walishasema ukimsikiliza yule mkurugenzi he doesn’t look the part, busara ni kuwalazimisha sasa watoe audited ‘financial statement’ walau watanzania waone tatizo liko wapi haswa.
Watu binafsi peke yao ni risk. Nchi ipo kwenye vita ya uchumiSerikali ingeachana na mambo ya kufanya biashara, waachie sekta binafsi. Hiyo ndyo solution ya Kudumu.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kilaza wewe mwaka 2020 ndege zilipaki Sana kwasababu ya Corona ndio maana hasara imepungua
Nasikia sauti kwa mbali hela za zipoo!Nasikia tatu nyingine zipo njiani..
Hakukua na mpango wowote wa biashara,'yaani business plan'ATCL si zilikuwa zinafanya international flights kama
Johannesburg
Mumbai
Guangzhou
Bunjumbura
Entebe
Imekuaje tana mnasema ilikuwa haifanyi international flights???? Jibu tafadhali
Wanyonge wala hawajui,kwakuwa ni wadanganyikaNina jinyonga kumbe kachoma pesa zetu za kodi alizokuwa ana tunyanganya!