Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahMarehemu alikuwa mbishi na muongo kupitiliza.
Ukaguzi ulifanyika lkn huenda ripoti zilizuiwa zisitoke kutoka juu.Kuna uzushi mkubwa uliletwa na Zitto kuwa kasma ya Atcl imehamishiwa ikulu ili watu waibe pesa sababu pesa za ikulu hazikaguliwi. Jambo ambalo lilikuwa sio kweli na wafuasi wa Chadema walikomaa sana juu ya ishu. Leo wameumbuka.
View attachment 1736519
Ungekuwa unatumia hata asilimia moja ya akili zako usingeandika huu utopolo wako hapa. Umeamua kujitoa ufahamu jumlaKuna uzushi mkubwa uliletwa na Zitto kuwa kasma ya Atcl imehamishiwa ikulu ili watu waibe pesa sababu pesa za ikulu hazikaguliwi. Jambo ambalo lilikuwa sio kweli na wafuasi wa Chadema walikomaa sana juu ya ishu. Leo wameumbuka.
View attachment 1736519
Ile kamati ya nidhamu na maadili ya bunge ya kumuita CAG haipo? Au huyu hajaliita bunge dhaifu?Kweli mambo yanaenda kasi sana.
Miaka 5 iliyopita nani alikuwa anawasilisha ripoti, Kichele au Prof Assad?
Kuna Kenya airways, Ethiopia airways, Rwanda airways. Ili la kwetu ni uongozi mbovu na kukosa ubunifu!
Shemeji yake na magufuliWakati wa kikwete hata kama palikua na upigaji ulikua unawanufaisha wengi ila wakati wa jiwe upigaji ulikua unanufaisha wachache...
NB: uwanja wa chato umejengwa na mayanga construction sasa jiulize hiyo kampuni mmiliki ni nani...
Unaambiwa miaka mi5 yote tumekuwa tukilamba mchanga bwashee!Kenya Airways imeingia hasara ya bilioni karibia 30 ndani ya mwaka mmoja kutokana na Corona.So issue ya Hasara kwenye makampuni ya ndege kwa kipindi hiki ni kawaida.
Mkuu Loss ya 60 ni ndani ya miaka mitano na Loss kubwa imepatikana miaka hii miwili ya Corana but hao kenya Airways wamepata Loss ya B 30 ndani ya mwaka mmoja tu. ATCL ilikuwa inapunguza Loss kila mwaka na baadae ingeweza kuleta faida.Afu watu wajue kuwa JPM Hakutarget kwenye bishara,Alileta hizi ndege kwa lengo la kuboresha huduma ya usafir.Wana ndege nyingi kuliko sisi na zinazofanya safari nyingi kuliko sisi. Wao walikuwa kwenye lockdown sisi tunapeta. Kwanini wawe na hasara ndogo sisi tuwe na hasara kubwa?
Mkuu Iran nao wana ndege?Na bado tutashuhudia mengi.
Mkuu marehemu hasemwi vibaya. Huoni hata mkarimani alikubali kuonekana hajui lugha ya malkia.Viburi vya magufuli vimetutia kitanzini sasa
kwa hiyo unabishana na mkaguzi aliyesema ni mwaka mmoja. nyie ndio majizi wenyeweMkuu Loss ya 60 ni ndani ya miaka mitano na Loss kubwa imepatikana miaka hii miwili ya Corana but hao kenya Airways wamepata Loss ya B 30 ndani ya mwaka mmoja tu. ATCL ilikuwa inapunguza Loss kila mwaka na baadae ingeweza kuleta faida.Afu watu wajue kuwa JPM Hakutarget kwenye bishara,Alileta hizi ndege kwa lengo la kuboresha huduma ya usafir.
Atasemwa tu hakuna namna ndio maana waasema tuwapo angali hai hapa duniani tufanye ya kuja kukumbukwaMkuu marehemu hasemwi vibaya. Huoni hata mkarimani alikubali kuonekana hajui lugha ya malkia.
Billion 60 maana yake kila Mtanzania amekula hasara ya shilingi 1000, dah [emoji16]
Mungu anatupigania sana.Daaah yaani sa hv ningekuwa na nyumba yangu nzuri kabisa maeneo ya mbweni , mweshimiwa Alibana ajira ili anunue ndege ...daaah yote mema Tu lakn