Kwa hiyo mlitaka Tz tusiwe na ndege hata moja. Kununua kitu kingine kuendesha mradi kitu kingine ebu tutofautishe.Maendeleo ya vitu yaendane na maendeleo ya watu. Nani atafidia hii hasara?
View attachment 1736531
View attachment 1736513
Kupiga hela JIWE asingeweza kuziba matundu yote China watu wananyongwa na upigaji mpaka kesho upo.