CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Usafiri wa anga kwa Tanzania umekuwa anasa, hasa baada ya kuondoka fast jet. Ieleweke wazi usafiri wa anga kwa nchi za wenzetu ni kitu cha kawaida. Wala bei haiko juu Kama kwetu, Atcl ili iweze kujiendesha kwa faida inabidi ipate abiria wa kutosha. Na ili ipate abiria inabidi nauli ishuke kidogo, simaanishi washushe bei Kama mabasi ya kutoka Shinyanga kwenda Simiyu. Sina maana hiyo wanajamvi, ninachomaanisha washushe bei inayostahimilika hata kwa wananchi wa hali ya kawaida. Mfano majuzi nimesafiri kwa 328,000/= one way, ndani ya nchi hii hii tz ni wangapi wanamudu nauli hiyo?. Usafiri wa anga usiwe anasa, tuache ushamba usafiri wa ndege uwe Kama usafiri wa kawaida. Kwani tunaporuka angani siyo kwamba tunaenda peponi moja kwa moja, inapofika destination ya safari tunatua aridhini tena, why so expensive in tz?!!!!.
 
Matanga Tuiachie familia yake..
Acha mama Ajenge Taifa.

Kila Jambo na wakati wake ashafukiwa..wacha mchwa wafaidi..
Tuna IMANI NA SSH
Mkuu ulichokiandika sio ubinadamu kabisa,

Kumbuka ipo siku itafika hata wewe utakufa na Mchwa watakufaidi pia,

Jaribu kutumia lugha nzuri kuliko kuandika ili mradi tu na wewe uonekane umo kwenye kukashifu,

Jaribu kutumia lugha nzuri katika kutumia ur freedom of speech,

Unaweza ukachukua ushauri wangu kama utaona unakufaa.
 
A
Usafiri wa anga kwa Tanzania umekuwa anasa, hasa baada ya kuondoka fast jet. Ieleweke wazi usafiri wa anga kwa nchi za wenzetu ni kitu cha kawaida. Wala bei haiko juu Kama kwetu, Atcl ili iweze kujiendesha kwa faida inabidi ipate abiria wa kutosha. Na ili ipate abiria inabidi nauli ishuke kidogo, simaanishi washushe bei Kama mabasi ya kutoka Shinyanga kwenda Simiyu. Sina maana hiyo wanajamvi, ninachomaanisha washushe bei inayostahimilika hata kwa wananchi wa hali ya kawaida. Mfano majuzi nimesafiri kwa 328,000/= one way, ndani ya nchi hii hii tz ni wangapi wanamudu nauli hiyo?. Usafiri wa anga usiwe anasa, tuache ushamba usafiri wa ndege uwe Kama usafiri wa kawaida. Kwani tunaporuka angani siyo kwamba tunaenda peponi moja kwa moja, inapofika destination ya safari tunatua aridhini tena, why so expensive in tz?!!!!.
Atcl haitaweza kutengeneza faida kwa kutegemea soko la ndani.

Na sasa hivi huko nje lazima uwe umechomwa chanjo ya covid ndio utaruhusiwa kwenda.

Mama samia bado yupo kimya ilihali anajua kabisa atake asitake chanjo ni lazima hata wasaidizi wake wamdanganyeje kuhusu chanjo ila atakichelewesha tu bure
 
Screenshot_20210328-151335_Gallery.jpg


Screenshot_20210328-151317_Gallery.jpg


Screenshot_20210328-151239_Gallery.jpg
 
Usafiri wa anga kwa Tanzania umekuwa anasa, hasa baada ya kuondoka fast jet. Ieleweke wazi usafiri wa anga kwa nchi za wenzetu ni kitu cha kawaida. Wala bei haiko juu Kama kwetu, Atcl ili iweze kujiendesha kwa faida inabidi ipate abiria wa kutosha. Na ili ipate abiria inabidi nauli ishuke kidogo, simaanishi washushe bei Kama mabasi ya kutoka Shinyanga kwenda Simiyu. Sina maana hiyo wanajamvi, ninachomaanisha washushe bei inayostahimilika hata kwa wananchi wa hali ya kawaida. Mfano majuzi nimesafiri kwa 328,000/= one way, ndani ya nchi hii hii tz ni wangapi wanamudu nauli hiyo?. Usafiri wa anga usiwe anasa, tuache ushamba usafiri wa ndege uwe Kama usafiri wa kawaida. Kwani tunaporuka angani siyo kwamba tunaenda peponi moja kwa moja, inapofika destination ya safari tunatua aridhini tena, why so expensive in tz?!!!!.
328000 one way??[emoji849][emoji849]

Acha nipande roli
 
Mfumo anaotumia Mama wa Taifa ni 1.3.6 kitaalamu Watasha wanaita ELECTRONIC UPWARD. Hapo anakabia kwa juu mpaka ukose pumzi hivyo utoe pumzi ya akiba iliyopo UKANDA WA CHINI...
SASA HIYO SUB YAKE INAYOPASHA MISULI MNAMJUA NI NANI???.......... Anaitwa Master KIFINYIO..
KWENYE UONGOZI WAZANZIBAR WANATHIBITISHA NI WATU NA NUSU , makofi kwao yawe mengi..
 
Hasara miaka mi 5 ni bil 690...[emoji23][emoji23][emoji23] faida nakumbuka ilitajwa bil 28...haya chakata hapo
60 - 28 =32Bil CAG anasema Hasara ni 60Bil,kuna ongezeko la 32Bil kama hasara hizi zimeongezekaje yaniiiii na zimetokea kona ipi?
 
Back
Top Bottom