CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

CAG: ATCL imeendeshwa kwa hasara kwa miaka 5 mfululizo

Labda unafikiri midege yote inajumuishwa kama asset moja.

Kila ndege inayomilikiwa na ATCL ina life time expectancy, dumping value na annual depreciation.

Kwa ivyo bombardiers na dreamline return on investement aziwezi kuwa ndani ya miaka sawa.

Moreover kila ndege unataka itengeneze faida kutokana na assumption za annual interest payment + operation + profit margin. Ina maana kila mwaka shirika lazima litengeneze faida regardless of large sums of investment.

Tatizo ni management ya ATCL mkurugenzi wao ni incompetent ukimsikiliza tu.
Hakuna biashara ya hivyo, na kwa taarifa yako life span ya ndege ni zaidi ya miaka 20. Faida ya ndege inategemea na watu wa ndani na nje ya nchi, pili inategemea na kipato cha wananchi wetu, tatu routes za ndege zenye Ku generate faida tuko nazo ngapi? ninapokuambia income ya watu wetu, baada ya miaka kumi ijayo income yetu itakuwa kubwa ukilinganisha na income ya sasa hivi, hivyo asilimia kubwa ya watanzania wataweza kumudu kupata ndege na shirika kupata wateja wengi zaidi, pia litaongeza idadi ya watalii kwenye sector ya utalii, unapikuwa na routes nyingi zenye faida ndipo utapata faida na hata kucover loss katika route ambazo haziingizi faida lakini unatengeneza jina, ndio maana nimekuambia investment of 2 trillion sahau kabisa faida within 5-10 yrs, hii miaka ni ya kupunguza tu hasara from 60bil to zero bil baadae ndipo tuanze kupata faida, we have to be patient.

CEO ubovu wake Siwezi jua, lakini kuna u lazima pia wa kubadili management ya ATCL kama itawezekana, lakini je CEO w a makampuni kama KQ nao sio wabunifu? maana wengi wanasema tusingenunua kwa cash ila mkopo sasa mbona hata wenye mkopo bado wana kula loss? tuweni wabunifu na tuweke target na milestone kuwa itatuchukua muda fulani kuziba loss na miaka fulani kuanza kutengeneza faida, lakini kwangu kufufua ATCL was the right decision.
 
Hakuna biashara ya hivyo, na kwa taarifa yako life span ya ndege ni zaidi ya miaka 20. Faida ya ndege inategemea na watu wa ndani na nje ya nchi, pili inategemea na kipato cha wananchi wetu, tatu routes za ndege zenye Ku generate faida tuko nazo ngapi? ninapokuambia income ya watu wetu, baada ya miaka kumi ijayo income yetu itakuwa kubwa ukilinganisha na income ya sasa hivi, hivyo asilimia kubwa ya watanzania wataweza kumudu kupata ndege na shirika kupata wateja wengi zaidi, pia litaongeza idadi ya watalii kwenye sector ya utalii, unapikuwa na routes nyingi zenye faida ndipo utapata faida na hata kucover loss katika route ambazo haziingizi faida lakini unatengeneza jina, ndio maana nimekuambia investment of 2 trillion sahau kabisa faida within 5-10 yrs, hii miaka ni ya kupunguza tu hasara from 60bil to zero bil baadae ndipo tuanze kupata faida, we have to be patient.

CEO ubovu wake Siwezi jua, lakini kuna u lazima pia wa kubadili management ya ATCL kama itawezekana, lakini je CEO w a makampuni kama KQ nao sio wabunifu? maana wengi wanasema tusingenunua kwa cash ila mkopo sasa mbona hata wenye mkopo bado wana kula loss? tuweni wabunifu na tuweke target na milestone kuwa itatuchukua muda fulani kuziba loss na miaka fulani kuanza kutengeneza faida, lakini kwangu kufufua ATCL was the right decision.
Ndugu strategic planning ya shirika la ndege inaanzia na hesabu za ‘services costing’ wenzako wana angalia kila kitu hapo ulichoorodhesha and more; ili kujua gharama ya kurusha ndege kila moja.

Uelewa huo ndio unawafanya waamue bei sahihi ya kiti again kutokana marketing information za potential market size as well as their purchasing power.

Hayo ndio mambo ya kuzingatia ndege wairushe wapi kwa siku ili kutengeneza faida ambayo ina meet break even ya minimum flying hours kwa kila ndege ili kutengeneza faida (costs zote zikiwa zimezingatiwa).

Pili ndege uirushe usiirushe lazima ina depreciate in value soon as it’s out of the manufacturers hanger, yes depreciation aiwezi kuwa sawa na ndege inayopaa maana hakuna air miles kwa ndege inayopakii tu but still it has to be depreciated.

Worst kwenye accounting practice wanataka consistency ina maana hata kama aijapaa provided ulisema ndege ina depreciate on straightline at 10% for the next 10 years; then that is the case. Kwa ivyo ukitaka kuiuza kabla ya muda uliopanga kuitumia, a buyer will look at the net book value ya ndege na sio hadithi zingine sijui aijatumika sana.

Ni hivi get people who know how to run such a business, sio kuandika theories ambazo god knows mnazitolea wapi mkadhani biashara ni bahati nasibu; there’s a lot of planning which goes behind the scenes for a business to prosper.
 
Investment ya trillion 2 huwezi rudisha mtaji nani ya miaka mitano, hiyo ni above 15 -20 yrs ROI baada ya hapo ndipo utaona faida, achaneni na theory ingieni kwenye uhalisia, nendeni on the ground muone biashara zinavyo enda, otherwise tutaanzisha vitu na kuviacha, je kuna kitu ambacho tutaweza fanya?
Watu hawazungumzii kurudisha fedha za manunuzi, ripoti inaonyesha shirika lina operate under loss, ikiwa hivi maana yake linakula mtaji, katika biashara hii ni shida.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi huko kwenye ndege nilijua tunapata hasara ok inawezekana lengo lake lilikua zuri ila hakupata washauri wazuri kilichoniumiza zaidi ni kuondolewa Prof Asad niliumia kweli nilijua Mzalendo wa kweli anaondolewa ili waendelee kupiga na subwoofer ndio alikua kiongozi wa hiyo ngoma...
Mkuu umesahau kama alikuwa hataki ushauri? Ukimpa ushauri ndio imeharibu kabisaa in his own voice
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
 
Acha uongo! Ndege zinaenda tupu kila leo with exception of few trips once in a while. Jamaa alipiga picha akitokea Kilimanjaro kwenda Kampala ndege haikuwa hata na watu 10 ndege ya kubeba zaidi ya watu 200.
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
 
Sasa kama Abiria wanajaa lakini Hela za kujaza mafuta na service ya Pancha wanakopa unategemea nini...Hao abiria wenyewe nusu na robo wamepanda baada ya kulalamika wapunguziwe bei
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Zilikuwa zinajaa viongozi na ndugu zao
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Hasara Tena?

Sent from my Pace 2 Lite using JamiiForums mobile app
 
Wadau naomba Msaada. Ripoti ya CAG imeonyesha hasara ya 60 Bln kwa ATCL, kulikoni? Mbona ATCL wanaongoza kwa abiria wengi, ndege zinajaa Sana, Kama Ile ya India ilijaa hadi tukamchelewesha ndugu yetu aliyekuwa mgonjwa Sana kwa kukosa nafasi. SIJAELEWA, NAOMBA MSAADA.
Hilo swala halihusu ticket tu chief ni suala mtambuka sana. Huwenda hata wafanya kazi wa ATCL walikuwa wana deals zako kwa asilimia kubwa ya wateja. Hii nchi hata uwameze wapigali wote bado ni changamoto. Hizo chunguzi zingekuwa zinakamilika kiuaminifu na wananchi tukaelezwa namna upigaji ulivyokuwa ndiyo ungekuwa mwarobaini wa kila wizi. Tatizo hizi chunguzi za hapa nchini zimejaa ushkaji sana na wananchi hatupewi matokeo ya hizo chunguzi. Yaani hii nchi inaudhi sana na hasa huu ujuha wa baadhi ya wana CCM kufumbiana macho kwa kigezo cha kulinda maslahi ya chama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom