Kwa hio ndio kusema sababu ya Sheria hairuhusu hilo basi waendelee kukwiba tu? Eti ndugu mwandishi unasemaje kuhusu hilo sababu ya Katiba na Bunge basi waendelee kukwiba tu maana na wao wanalijua hilo ndio maana wanakwiba tuRais hawezi kusomewa ripoti leo halafu kesho aseme kamata fulani na fulani peleka Mahakamani.
Kwa hiyo Magu alikuwa mfiraji siyo? Ina maana nchi ilitawaliwa na shoga!!Angalia hii chenga
Magu alikufir.. Puru AISEE
As long as you believe in the bibleHatuitaji ubora, tunahitaji uwajibikaji
Nasikia waafrica mnalaana ; wakati wa nuhu mlimchungulia baba yenu akiwa uchi, kisha akawalaani, nasikia ile laana inawala hadi leo !
Eti ni kweli ?
Na mimi nimejiuliza hivyo hivyo.Sasa matokeo ya uwasilishwaji huo niyapi? Naona kama vile wanakamilisha tu utaratibu lakini wizi upo palepale kila mwaka.
As long as you believe in the bible
Ripoti kujadiliwa na kufanyiwa kazi ni jambo jingine
Naamini juu ya watoto wa Nuhu kuwa mmoja aliona utupu wa baba yake ila siamini kuwa huyu mtoto ndiye chimbuko la Waafrika. Hiyo imetumika tu kuwa undermine na kuwa discriminate WaafrikaWewe huamini ?
Yaani haya mambo ungeweza kuweka video clip ya kilichotokea mwaka jana na mwaka huu itakuwa yaleyale....; Hakuna Jipya Wizi Mkubwa , Brah.., Brah.., Brah za hapa na Pale baada ya hapo Business as Usual..,
To be repeated Next Year...
Wamesharekebisha?Fuatilia yanayojiri wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya CAG na TAKUKURU kwa mwaka 2022/23, Ikulu ya Chamwino, Dodoma, leo Machi 28, 2024.
View attachment 2946606
Naamini juu ya watoto wa Nuhu kuwa mmoja aliona utupu wa baba yake ila siamini kuwa huyu mtoto ndiye chimbuko la Waafrika. Hiyo imetumika tu kuwa undermine na kuwa discriminate Waafrika
Magufuli na mapungufu yake atabaki kuwa Rais Bora TanzaniaBora huyu anapokea ripoti na tunajuwa ubovu na ufisadi wote. Kuliko DIKTETA Magufuli yeye aliposomewa ripoti ya upotevu wa Tsh 1.5 Trillion akamfukuza kazi CAG Prof Assad.
Bahati mbaya Bunge ndilo lenye kuchukua hatua. Ila Bunge lenye UTAAHIRA aliloliacha Magufuli unategemea lifanye nini? Bunge lina wabunge 99.999% wa CCM.
Simtetei Samia kwa kutochukua hatua kwenye ropoti ya mwaka 2021/22 kama tulivyotarajia. Nchi hii inaendeshwa kwa Katiba na utawala wa Sheria. Rais hawezi kusomewa ripoti leo halafu kesho aseme kamata fulani na fulani peleka Mahakamani. Tutakuwa tuarudia UHAYAWANI uleule wa Magufuli aliyejaza watuhumiwa magereza lakini hakuna hata kesi moja aliweza kuimaliza hadi anakufa.
Upo utaratibu nankuna vyombo vya kufanya hayo mambo. Na mwenye majukumu makubwa ni Bunge.
Katiba inaruhusu Wabunge kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu kama maagizo ya CAG hayatekelezwi. Kura zikipigwa na wakashinda wanaosema hawana imani basi Rais anavunja cabinet.
Kasome Mwanzo 9: 20-27Apart from bible , toa evidence kuwa kuna mtu aliitwa nuhu aliexist, na toa evidence pia ni kweli kuna mtoto alichungulia huo utupu?
Hayo Mapungufu ndiyo udhaifu wake!!, anaanzaje kuwa bora tena??Magufuli na mapungufu yake atabaki kuwa Rais Bora Tanzania
Kwa Sasa nchi hata haieleweki inaenda wapi
Magufuli na mapungufu yake atabaki kuwa Rais Bora Tanzania
Kwa Sasa nchi hata haieleweki inaenda wapi
Kasome Mwanzo 9: 20-27
Baadhi ya Mawaziri wajiandae na reshuffle baada ya ripoti hii.
Kuna nyepesi nyepesi kuhusu hilo nimeinyaka sehemu.
All in all watabadirishiwa Wizara tu ila wataendelea na kazi [emoji119]