CAG kuwasilisha ripoti yake leo Bungeni, uozo kuwekwa hadharani

CAG kuwasilisha ripoti yake leo Bungeni, uozo kuwekwa hadharani

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Nimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake Bungeni.

Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.

Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.

Usiondoke
 
Nimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake bungeni.

Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.

Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.

Usiondoke
Kuna bunge au safu iliyoandaliwa kupitisha Rais wa Milele. Mungu naye kiboko. Bora wawasilishe kwa wananchi ndiko wanapata maoni.
 
Nimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake bungeni.

Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.

Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.

Usiondoke
Sawa,Ngoja tuone waliohusika wote wawajibishwe,hasa kama kulikuwa na maagizo kutoka juu ya kutekeleza maagizo ya kisiasa kwa shughuli ambazo hazikuwa kwenye bajeti ya halmashauri husika
 
Nimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake bungeni.

Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.

Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.

Usiondoke

Na tusubiri uwajibikaji na uwajibishwaji
 
Back
Top Bottom