Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ndio hao hao wenyewe wanajiita "chawa"Hawa kazi yao haikuwa kupitisha mitano tena? Yaani atake, asitake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao hao wenyewe wanajiita "chawa"Hawa kazi yao haikuwa kupitisha mitano tena? Yaani atake, asitake?
Chawa kama chawa wanachachawa mama akifanya usafi...Ndio hao hao wenyewe wanajiita "chawa"
MMHJambazi sugu kabisa...
nyie watu jamani hahaaaaaaaaChawa kama chawa wanachachawa mama akifanya usafi...
Wamzingue waone adhabu ya mama
ushauzwa wewe kama hujuiJapo ungeniambia chumbani ingependeza zaidi...
Maana wewe ni mama D na mimi ni baba C.
Lila na fila havitangamani, wahenga walisema
Report ya CAG Kwenye halmashauri Hainan uhalisia halmashauri tunapata hati safi kwakuwa tu ma DED Wanahonga wafanyakazi wa CAG.vinginevyo hati safi angekuwa ndoto koteNimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake Bungeni.
Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.
Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.
Usiondoke
Yule jamaa wa finance and building nasikia atachukua nafasi ya Zitto Kabwe kwa uchambuzi wa bajeti bungeni.Kuna maboga matupu hicho kinachoitwa bunge, nani wa kuchambua taarifa hiyo?
Unaambiwa uozo uliowekwa hadharani haujawahi kuwepo tangu nchi hii ivumbuliwe na Wazungu !Nimepewa dokezo kwamba leo CAG atawasilisha ripoti yake Bungeni.
Japo naona taarifa hazijawekwa wazi sana lakini tusubiri muda sio mrefu kila kitu kitakuwa wazi.
Hali ni mbaya sana kwa TAMISEMI na Halmashauri zake. Kuna wizi na uozo mkubwa sana utawekwa wazi.
Usiondoke
Kwi Kwi KwiBabu Tale nakuaminia report ikija wabane kweli kweli 😅 😅 😅