CAG Mstaafu Ludovick Utoh: Kuna ukakasi kusema Rais ametoa hela inapaswa kuwa Serikali imetoa hela kutekeleza miradi

Mbona unaandika kama unafukuzwa kama mbwa koko?

Nilipoona tu uandishi wako ulivyo wa hovyo nime ignore hata kusoma content aise, huwa mnaboa sana kukosea KISWAHILI chetu fasaha, unaandika kama kilugha wakati lugha yetu ni kama dhahabu.
 
mzee alituharibia Nchi kabisa,
 
kiukweli Kabudi niwakutimuliwa, ni masalia ya yule bwana katili
 
Katiba tuliiweka pembeni, siku hizi haututumii bajeti za bunge , tunatumia pochi la mama mpaka hapo uchumi utakapotengamaa.
 
Ushasema fedha ni za wananchi, kwamba serikali ni wakala tu…. basi isemwe kabisa wananchi wametoa fedha za mradi X.
Ni fedha za umma zimekusanywa na serikali. Ili fedha hizo ziweze kutumika serikali inaomba kibali cha bunge. Hivyo ni fedha zinazotumiwa na serikali katika shughuli mbalimbali za umma baada ya kuidhinishwa na bunge.
 
Kama kweli Uto ametoa kauli hiyo, basi na yeye hana maana na ni wa kudharauliwa kabisa. Yani msomi wa aina yake anasumbuliwa na maneno/kauli za wapambe! Shame on him Utto!
 
Zamani hata haikuwa Rais ilikuwa Magufuli ametoa na akiamuru kitu hasemi tumeamua alikuwa anasema nimeamua...ndio aina ya uongozi tulioupenda acha kazi iendelee🏃🏃🏃
 
Mzee Utoh yuko sahihi,sema wapambe wa Rais kupenda kujipendekeza na kujikombakomba kwake. Vilevile uonekane kwa wananchi as if Rais kawaonea. huruma kusapoti miradi yao wakati ni kodi zao.
 
Sitasahau ile siku Mwaluko alivyomu address mwendazake Kama mheshimiwa Mungu. Hiyo ndiyo siku tulipochonganishwa na malaika Israeli.
 
Mbona unaandika kama unafukuzwa kama mbwa koko?

Nilipoona tu uandishi wako ulivyo wa hovyo nime ignore hata kusoma content aise, huwa mnaboa sana kukosea KISWAHILI chetu fasaha, unaandika kama kilugha wakati lugha yetu ni kama dhahabu.
Muhimu ujumbe umefika. Kiswahili wengine ni lugha ya pili.
 
Kama kweli Uto ametoa kauli hiyo, basi na yeye hana maana na ni wa kudharauliwa kabisa. Yani msomi wa aina yake anasumbuliwa na maneno/kauli za wapambe! Shame on him Utto!

Uto ni kifupi cha utopolo?
 
Miaka 6 imepita na huu ndo ulikuwa mtindo na watu walikuwa kimyaaaa, wakiongea basi ni kupongeza tu. Leo hao wameshaanza... mama anaupiga mwingi na kuna watu nawaona kabisa wanachanganyikiwa na kufadhaika, mwishowe vinabishwa vitu ambavyo hata maana hakuna. HV msomi gani anashindwa kuelewa maana kusudiwa hapo hadi Iwe kelele?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…