Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,039
- 2,676
Mbona unaandika kama unafukuzwa kama mbwa koko?
Nilipoona tu uandishi wako ulivyo wa hovyo nime ignore hata kusoma content aise, huwa mnaboa sana kukosea KISWAHILI chetu fasaha, unaandika kama kilugha wakati lugha yetu ni kama dhahabu.
Nilipoona tu uandishi wako ulivyo wa hovyo nime ignore hata kusoma content aise, huwa mnaboa sana kukosea KISWAHILI chetu fasaha, unaandika kama kilugha wakati lugha yetu ni kama dhahabu.