TANZIA CAG Mstaafu Profesa Assad afiwa na mkewe Dkt. Badria Bave Msambichaka

TANZIA CAG Mstaafu Profesa Assad afiwa na mkewe Dkt. Badria Bave Msambichaka

TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK

Taasisi ya hija na Umrah


TANZIA

INNALILLAH WAINALILLAH RAJIUNA

**********
Mkurugenzi wa Tawheed Development Network Profesa Musa Juma Assad anatangaza msiba wa katibu wa TAWHEED Dr Badria Bave Msambichaka kilichotokea ghafla usiku wa jana jumanne tarehe 16 Aprili 2024

MAREHEMU DR BADRIA AMBAYE NDIYE MKEWE PROFESA ASSAD ATAZIKWA LEO SAA KUMI MAKABURI YA MWINYI MKUU MAGOMENI DSM NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE TEGETA

Hakika msiba ni Qadar
.Marehemu Dr Badria amehitimu shahada ya PhD ughaibuni hivi karibuni.

Lakini pia amekuwa nchini India hospitali kwa muda mrefu sana akimuuguza mwanae wa mwisho.

WanaTawheed wote wakiwemo mahujaji na waislamu wote wanamuombea msamaha kwa mwenyezi Mungu amzidishie nuru kaburini kwake amjaalie firdausi kwa kuwakirimu na kuwahudumia mahujaji maishani mwake...

Tunaiombea Subra familia ndugu jamaa na marafiki

LEO TUPO KESHO HATUPO TUTENDE WEMA KABISA

Innalillah wainalillah Rajiina

🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Juma Nchia
Afisa habari Tawheed.
0784822332
Tarehe 17 /4/2024.Saa:2:00 Asubuhi
Dodoma.
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
ndugu sio lazima watakuja kufagia kaburi.... au kwenu ndugu wasipoaga mwili hauozi au hauendi kuchomwa motoni?......... kusitiri maiti ni kitu nzuri mimi sio muislamu ila napenda sana wanachofanga kama wamejiridhisha ni maiti kweli kuzika isi hukue siku nzima
Tatizo linakuja pale ambapo mtu kazimia,na anazikwa harakaharaka,na ukizingatia Kila utaratibu una faida zake na hasara zake,yaani ni tafrani.
Kuna watu wanazimia masaa hata 24,mapigo ya MOYO yanakua chini sana,bilashaka wengi walishazikwa kimakosa.
 
Tatizo linakuja pale ambapo mtu kazimia,na anazikwa harakaharaka,na ukizingatia Kila utaratibu una faida zake na hasara zake,yaani ni tafrani.
Kuna watu wanazimia masaa hata 24,mapigo ya MOYO yanakua chini sana,bilashaka wengi walishazikwa kimakosa.
huwezi zimia ukaacha kuamka kwenye kukamuliwa uchafu.... ingekua wanazika na uchafu tumboni hapo wengi wangezikwa hai
 
TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK

Taasisi ya hija na Umrah


TANZIA

INNALILLAH WAINALILLAH RAJIUNA

**********
Mkurugenzi wa Tawheed Development Network Profesa Musa Juma Assad anatangaza msiba wa katibu wa TAWHEED Dr Badria Bave Msambichaka kilichotokea ghafla usiku wa jana jumanne tarehe 16 Aprili 2024

MAREHEMU DR BADRIA AMBAYE NDIYE MKEWE PROFESA ASSAD ATAZIKWA LEO SAA KUMI MAKABURI YA MWINYI MKUU MAGOMENI DSM NA MSIBA UPO NYUMBANI KWAKE TEGETA

Hakika msiba ni Qadar
.Marehemu Dr Badria amehitimu shahada ya PhD ughaibuni hivi karibuni.

Lakini pia amekuwa nchini India hospitali kwa muda mrefu sana akimuuguza mwanae wa mwisho.

WanaTawheed wote wakiwemo mahujaji na waislamu wote wanamuombea msamaha kwa mwenyezi Mungu amzidishie nuru kaburini kwake amjaalie firdausi kwa kuwakirimu na kuwahudumia mahujaji maishani mwake...

Tunaiombea Subra familia ndugu jamaa na marafiki

LEO TUPO KESHO HATUPO TUTENDE WEMA KABISA

Innalillah wainalillah Rajiina

🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Juma Nchia
Afisa habari Tawheed.
0784822332
Tarehe 17 /4/2024.Saa:2:00 Asubuhi
Dodoma.
Waina lilah waina ilah raajun..Pole sana Prof Asad na familia yako
 
Mimi nauhakika wengi tushazika wakiwa wamezimia, kuna jirani yetu miaka ya nyuma alifariki usiku kama wa saa 5 hivi, asubuhi baadhi ya majirani wanaamka wanashangaa msiba na maiti ishazikwa.
Miaka ya nyuma Bibi mmoja wa Kisomali akiishi maeneo ya Kaloleni aligongwa na gari saa 11 jioni akazikwa saa 1 usiku na taa za chemli !.
 
Back
Top Bottom