CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

CAG mstaafu Uttoh: Hakuna Shirika lolote la ndege duniani lililopata faida baada tu ya kuanzishwa, ATCL haijawahi kulipa Gawio Serikalini

Ndugu yangu nawe umeingia kwenye mtego ule ule wa Magufuli ambao tulimkosoa sana kipindi kile wa kuzidai kila taasisi za umma ziipe pesa serikali.

Hilo la UDSM tulisema wazi kuwa, ni taasisi ya umma, yenye lengo la kutoa huduma (sio kufanya biashara) na kama inaweza kuingiza faida basi inabidi isonge mbele kwa kupunguza utegemezi wa ruzuku ya serikali ili iweze kujiendesha. Kuilazimisha kutoa gawio ni sawa na kutoa pesa mfuko wa shati na kuiweka kwenye mfuko wa suruali, haina mantiki.
Ulichokisema mwisho ndiyo nchi inachokifanya siyo Tanzania ni duniani kote...Hayo mashirika siyo binafsi niemeelza over and again!
 
Huyu ndio CAG, sio kina kichere na mwenzie prof uchwara Assad mwenye hasira kama nyangumi.[emoji1][emoji1]joking
CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.

Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend

CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!



Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
 
CAG mstaafu mh Uttoh amesema hakuna shirika la ndege lolote duniani lililowahi kupata faida katika miaka ya mwanzo ya operations zake.

Kuhusu gawio mh Uttoh amesema dividend hutolewa baada ya biashara kupata faida na huamuliwa na bodi kiasi gani cha faida kigawiwe kama dividends
Uttoh amesema kwa uelewa wake ATCL haijawahi kulipa dividend kwa serikali, na kama kuna fedha ziligawiwa kwa serikali na ATCL hicho ni kitu kingine siyo dividend

CPA Uttoh amesema kimsingi mashirika ya umma hayapaswi kulipa dividend kwa sababu hayafanyi biashara na ametoa mfano UDSM wanalipa dividend serikalini kwa biashara gani wanayofanya?!



Source: ITV kipindi cha Kipima Joto
Bunge nalo Vipi mbona lililipa Serikalini?
 
Wakati wa Magufuli tumeona mengi, Hadi Bunge kidogo watoe gawio[emoji1]
Uttoh amesema mashirika ya ndege huwa yanapata faida baada ya miaka mingapi?

Hizo pesa wanazogawiwa serikalini sio dividend zitafutiwe jina lingine, hata Tume ya uchaguzi ilitoa hizo pesa kwa serikali wakati walikuwa wakidaiwa posho na wasimamizi wa uchaguzi.
 
Sheria inayataka mashirika ya umma kupeleka gawio serikalini kila mwaka. Sasa hilo gawio wanalitoa wapi kama sio kwenye faida waliozalisha?

Nini mantiki ya kutakiwa kutoa gawio kama hawapaswi kuzalisha faida kwanza?
Wanatoa kwenye turnover siyo profit.

Ni kama vile unavyolipa Vat au zamani sales tax!
 
Kwa hiyo tutegemee faida baada ya miaka 100? Watanzania tulimuonya dikteta kwamba ununuzi wa ndege si kipaumbele cha Watanzania na biashara ni hasara tupu kama ASINGEKURUPUKA hiyo zaidi ya 3 trillions si ingeweza kutumia kuongeza mishahara ya Wafanyakazi nchini!?
Na mashirika ya uma kulipa magawio ni sawa na kuhamisha pesa kwenye mifuko yako ama accounts zako mwenyewe...which is totally nonsense kusema ni vitu wiwili tofauti
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Uttoh amesema mashirika ya ndege huwa yanapata faida baada ya miaka mingapi?

Hizo pesa wanazogawiwa serikalini sio dividend zitafutiwe jina lingine, hata Tume ya uchaguzi ilitoa hizo pesa kwa serikali wakati walikuwa wakidaiwa posho na wasimamizi wa uchaguzi.
hata Tume ya uchaguzi ilitoa hizo pesa kwa serikali wakati walikuwa wakidaiwa posho na wasimamizi wa uchaguzi.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji23]
 
hata Tume ya uchaguzi ilitoa hizo pesa kwa serikali wakati walikuwa wakidaiwa posho na wasimamizi wa uchaguzi.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji23]
Hizo pesa waliziitaje bwashee?

Gawio au Salio?
 
Kwa hiyo tutegemee faida baada ya miaka 100? Watanzania tulimuonya dikteta kwamba ununuzi wa ndege si kipaumbele cha Watanzania na biashara ni hasara tupu kama ASINGEKURUPUKA hiyo zaidi ya 3 trillions si ingeweza kutumia kuongeza mishahara ya Wafanyakazi nchini!?

Mbona una hasira na huyo dikteta au kwa vile alivunja bilicanas ukapoteza kazi ya unenguaji?

Jibu hoja za uthoh kama una uelewa tofauti badala ya kumu attack mtu ambaye hajatoa wazo hapa.

Nachoona kwa uelewa wako ni mdogo ki akiri kama anavyosema msukuma, mnaweza kuwa na elimu lakini kichwani hama kitu.

Ndege zimenunuliwa ili zizalishe ili hao wafanyakazi walipwe kutokana na hizo ndege.
Sasa kama hizo pesa za ndege zikilipwa hao wafanyakazi kisha zitatoka wapi zingine ili walipwe kwa kipindi kingine?
Au zinatosha kwa uhai wa mfanyakazi miaka yote?
Tumieni akili achrni kutumia akili za wanyama wa poli.
 
Mzee Uttoh yuko sahihi kabisa, mashirika yote ya ndege huwa hayaleti faida ya moja kwa moja kwa taifa. Biashara ya ndege kama yenyewe huwa haiingizi faida, ila faida zake huja kutokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi ambazo safari hizo za ndege hufanikisha ndani ya nchi husika.

Mfano mzuri shirika kubwa kama la Fly-Emirates au Air-China hayapati faida za moja kwa moja, lakini shughuli za kiuchumi ambazo haya mashirika yamezifanyikisha ndizo huingiza faida. Fly-Emirates linafanikisha shughuli za kiutalii na biashara ya kimataifa ndani ya ile falme ya Kiarabu.

Faida ambazo zinapatikana kutoka kwenye utalii na biashara ya kimataifa ndiyo hutumika kufidia (Compensate) gharama ya uendeshaji wa shirika la Fly-Emirates. Biashara ya ndege ina gharama kubwa sana kuendesha, na mashirika yanayoingiza faida kama Ethiopian Airlines hayaingizi kutokana na safari za anga bali kazi nyingine (Kufundisha marubani na wahudumu, pamoja na kufanya marekebisho ya ndege) ambazo shirika hufanya.

Ambacho sisi hatukukubaliana na Raisi Magufuli ni ile tabia ya kusema unanunua ndege kwa pesa taslimu kuinua UTALII nchini, ilhali umeweka sera mbovu ambazo zinawakimbiza watalii: Hata mpango-mkakati wa biashara (Business Plan) hajatupa wananchi. Kila jambo linafanyikia gizani tu....

Lingine ni hili la kununua ndege kwa pesa taslimu bila kuweka wazi mikataba yake linatia ukakasi sana. Halafu shirika bado liko kwenye majaribio ya kufufuliwa na halijasimama vizuri: Tungejaribu kwanza kuchukua ndege chache chini ya Lease (Dry or Wet Leases ) huku tukipima upepo unaendaje.....
Maelezo marefu lakini siyo ya kweli. Kama maelezo yako uangekuwa sahihi, kUsingekuwa na mashirika binafsi ya ndege.

Umeongea kwa kudhania kuwa mashirika yote ya ndege yanamilikiwa na serikali. Usichangie kitu kama huna uhakika.

Profit per passenger at the seven largest U.S. airlines averaged $19.65 over the past four years—record-setting profitable years for airlines. In 2017, it stood at $17.75, based on airline earnings reports.14 Feb 2018.

Which Airlines Have Turned A Profit So Far In 2020?

byPranjal Pande

September 14, 2020

There’s no doubt that 2020 has been a challenging year for airlines. However, a handful of carriers have managed to turn a profit this year. So which airlines have managed to buck the trend?

[data:image/svg+xml;charset=utf-8,%3Csvg xmlns='http%3A//www][https://simpleflying-com] The two Korean giants, Asiana and Korean Air, both turned a profit in Q2 of 2020. Photo: byeangel via Wikimedia Commons

It should be noted that even profitable airlines have taken a sharp hit in revenue. Most carriers have seen double-digit revenue declines due to low passenger levels. This piece is not exhaustive and covers major airlines who have managed to turn a profit during the crisis despite the sharp downturn.

South Korea shines

The two airlines that stand among the global competition are Korean Air and Asiana. Both carriers suffered losses in the first quarter of 2020 due to a drop in passenger demand from China and the rest of East Asia early in the year. However, the carriers reported substantial profits in the Q2 of 2020.

Korean Air reported a profit of ₩148.5 billion ($125.2 million) for the second quarter, even as revenue shrank by 44%. Asiana reported a ₩115.1 billion ($96.9 million) profit in the same quarter, with revenue falling 45%. According to Korean Investors, falling cargo prices could see profits reduce next quarter.

Ethiopian leads the way

Africa’s largest airline, Ethiopian Airlines, has done well through the pandemic. With a combination of cargo and repatriation flights, the airline has covered all its fixed costs and says it has turned a small profit for the fiscal year that ended in July, its CEO told Bloomberg. The exact figure is not yet known.
 
Kwa hiyo tutegemee faida baada ya miaka 100? Watanzania tulimuonya dikteta kwamba ununuzi wa ndege si kipaumbele cha Watanzania na biashara ni hasara tupu kama ASINGEKURUPUKA hiyo zaidi ya 3 trillions si ingeweza kutumia kuongeza mishahara ya Wafanyakazi nchini!?
Acha kuongea utopolo sekta ya watalii na madini ungekuza kwa makalio yako? Bila ndege unaanzaje kujisifia kuwa kitovu cha utalii?
 
Dah.....yaani Sh60bn kwa mwaka! Hivi shule moja ya msingi nzuri kabisa inaweza kugharimu kiasi gani kujenga? Hizi 60bn zinaweza kujenga shule ngapi?

Au:
Hizi 60bn zinaweza kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi wangapi....kuanza mpaka kumaliza (say kozi za miaka 3)?

JPM bana......mwanzo alianza na gia za kubana matumizi....

Kuna jamaa juzi tunapiga soga akaniuliza: "hivi SMU katika hizi shughuli za mazishi ya JPM mbona walikuwa hawaoneshi nyumba ya JPM?" Sikumjibu.
Mashirika ya uma hayapo kutengeneza faida za moja kwa moja bali yapo kuhudumia wananchi na kuchochea kukua kwa uchumi.
Bila ndege unaanzaje kujisifia kuwa kitovu cha utalii? Sekta za madini ma biashara zinanufaika na uwepo wa ndege.Hata kama shirika halipati faida ila ndege ni muhimu.Ziongezwe zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mashirika ya uma hayapo kutengeneza faida za moja kwa moja bali yapo kuhudumia wananchi na kuchochea kukua kwa uchumi.
Bila ndege unaanzaje kujisifia kuwa kitovu cha utalii? Sekta za madini na biashara zinanufaika na uwepo wa ndege.Hata kama shirika halipati faida ila ndege ni muhimu.Faida zake si za moja kwa moja katika shirika la ndege.Ninashauri ziongezwe ndege nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom