Naomba kufahamishwa vizuri. CAG anasema: wafanyakazi wa mfuko wamejikopesha hizo fedha mabilioni ya shilingi, gharama zinazolipwa, hasa kwa hospitali binafsi ni kubwa kuliko uhalisia, mfuko umelipa madawa yaliyoisha muda etc... Sasa wao solution wanasema watanzania wote waingizwe kwenye huu mfuko (NHIF), how? Yaani una wanachama milioni 2 kwa mfano kwenye huo mfuko but umeshindwa kuzikabili changamoto za watu milioni mbili, sasa itawezekanaje kuwamudu watu milioni 60??
Kwa nini wasiende kukopa benk badala ya kukopa pesa za mfuko wa matibabu??Wajinga kabisa
Hili ni tatizo kubwa fund yeyote management fee inatakiwa isizidi 20 percent ya contribution
NHIF management walicomply hilo? Hawatakiwi kula contribution za watu kuendesha shughuli za kila siku above 20 percent ya contribution fees
Wanaposema mikopo ina bima na wao ni bima inayoendeshwa kwa michango ya contributors hiyo bima walikowrka ni private insurance au public? Kama ni public kana National Insurance Corporation maana yake waki default pesa zetu walipa kodi ndizo zitatumika kulipa hiyo mikopo sababu NIC ni kampuni ya umma lakini mtu binafsi akikopa benki ya umma NIC wakaweka bima hakuna shida sababu mkopaji yuko nje ya public sector
OK waweke hesabu zao audited humu tuone source ya hiyo mikopo yao iko eneo lipi kwenye financial statements zao Wanatoa wapi kukopeshana? NHIF inatoa pesa eneo lipi kukopesha wafanyakazi wake
Mwenye financial statements zai aweke hapa tuwahoji hiyo mikopo yao wanakopeshana wafanyakazi inatoka eneo lipi? Kwenye financial statements zao?
Waandishi wa habari rudini mkazidai
Waonyeshe kabisa mikopo tunakopesha inatoka hqpa
Kwanza sheria inayounda huo mfuko inaruhusu kukopeshana??CA,G aanike mahesabu wazi ya NHIF tujue hiyo mikopo wanakopeshana wanatoa fungu gani badala ya kwenda kukopa kwenye mabenki ya biasharaa
Wanakula hela za NHIF contributors kupitia eneo lipi?
Mahesabu ya fund yawekwe humu tujue hela za wagonjwa walizochangia mfuko wanazokopeshana wanatoa eneo lipi
Wagonjwa wanachanga ili wafanyakazi wa NHIF wakopeshane? CAG weka hesabu za NHIF hadharani
Chief unashida na mimi😂😂😂, nimekukosea kitu😂😂😂Palikuwa na uzi hapa:
Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?
Ukipigwa vita na aina ya kina Neuro
Kama unaamini hivyo, ifunge uone wananchi watakavyo kuua😂😂😂. Halafu nyie mlishaambiwa zile nihoja zakujibu ila Watz bana. Hivyo vichwa vya habari bwana, halafu ingia ndani usome😂😂😂. Sema ni bomba la kuiba😂😂😂 ila ukijua maana ya audit tutakuwa sawa😂😂😂.Umeamua kuwaruka siyo. Zingatia hoja zetu hawa jamaa ni bomba la kutuibia wala si vinginevyo:
View attachment 2591309
Kama unaamini hivyo, ifunge uone wananchi watakavyo kuua😂😂😂. Halafu nyie mlishaambiwa zile nihoja zakujibu ila Watz bana. Hivyo vichwa vya habari bwana, halafu ingia ndani usome😂😂😂. Sema ni bomba la kuiba😂😂😂 ila ukijua maana ya audit tutakuwa sawa😂😂😂.
Chief unashida na mimi😂😂😂, nimekukosea kitu😂😂😂
ElimuNaomba kufahamu taasis, idara, shirika au kampuni ya serikali ambayo wafanyakazi wake siyo wabadhirifu?
Kwani ni NHIF pekee yake ndio inajikopesha? Au mna agenda binafsi, nendeni Kwingine pia muone mikopo inavyotolewa na mikopo hiyo mbona ina riba? Au hilo hamlioni?Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.
Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.
“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”
CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.
Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”
Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.
Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.
Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.
Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.
“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.
Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”
Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.
“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.
“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.
“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.
CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.
Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."
Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.
“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”
Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.
Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.
CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.
Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.
Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.
Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.
MWANANCHI
Mfuko unaelemewa wao wajikopesha tu mihela Hadi kufikia bil 41 duuKwani ni NHIF pekee yake ndio inajikopesha? Au mna agenda binafsi, nendeni Kwingine pia muone mikopo inavyotolewa na mikopo hiyo mbona ina riba? Au hilo hamlioni?
Tuacheni upambe kila taasisi inazo taratibu zake za ufanyaji kazi mikopo ni sehemu ya motishaWatu waliotayar kulipa wakikopeshwa hawakopeshwi wanakopesha ambao hawana mpango wa kulipa
Mbna NHIF walishatolea ufafanuzi hilo suala, acheni Serikali ifanye kazi yake. Mwananchi nao ni changamotoDar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.
Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.
“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”
CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.
Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”
Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.
Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.
Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.
Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.
“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.
Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”
Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.
“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.
“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.
“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.
CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.
Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."
Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.
“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”
Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.
Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.
CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.
Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.
Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.
Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.
MWANANCHI
Kabisa swali zuri kabisaKwanza sheria inayounda huo mfuko inaruhusu kukopeshana??
Two wrongs don't make a rightKwani ni NHIF pekee yake ndio inajikopesha? Au mna agenda binafsi, nendeni Kwingine pia muone mikopo inavyotolewa na mikopo hiyo mbona ina riba? Au hilo hamlioni?
Kabisa wakakope benki wanachofanya sio sahihi kukopa pesa za.wagonjwaKwa nini wasiende kukopa benk badala ya kukopa pesa za mfuko wa matibabu??
changamoto za mfumo wa bima ya afya nchini hasa wa umma haziwezi kupata suluhu kwa kubadilisha bodi au menejiment Au wafanyakazi bila kujua kiini cha tatizo.Dar es Salaam. Wakati ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ikibainisha wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) walijikopesha Sh41.42 bilioni na kusuasua kuzilipa, menejimenti ya uongozi wa mfuko huo umetoa ufafanuzi.
Katika ripoti hiyo ya mwaka 2021/22, CAG Kichere anasema kuna kupungua kwa ukwasi wa mfuko huo unaochangiwa na mambo mengi, kutorejeshwa kwa mikopo ya watumishi wa NHIF.
“Nilibaini kuwa hadi Juni 30, 2022, NHIF ilikuwa na mikopo ya wafanyakazi ambayo haijalipwa Sh41.42 bilioni, kati yake Sh11.18 bilioni ikiwa mikopo mipya iliyotolewa 2021/22.”
CAG anasema mikopo hiyo ilitolewa bila kuzingatia mahitaji ya aya 1.4 ya sera ya mikopo ya wafanyakazi wa mfuko ambayo inahitaji mikopo kutolewa chini ya mfumo wa kukopa na kulipa,” anasema CAG.
Aliongeza: “Nilibaini kupungua kwa ukwasi wa fedha za mfuko huo, hata hivyo mfuko uliongeza ukomo wa mkopo kwa wafanyakazi, hii inatokana na mfumo usioridhisha wa usimamizi wa mfuko wa mkopo kwa wafanyakazi”
Akitoa ufafanuzi kuhusu suala hilo, Mkuu wa kitengo cha mawasiliano NHIF, Angela Mziray alisema “mikopo inayotolewa kwa wafanyakazi wa mfuko ipo kisera kama ilivyo kwa taasisi nyingine za umma na binafsi kwa ajili ya motisha na inarejeshwa kila mwezi na watumishi kupitia mishahara yao pamoja na riba, pia ina bima ili kuhakikisha hakuna hasara,” alifafanua Mziray.
Hata hivyo, katika mapendekezo yake, CAG anasema NHIF itekeleze sera ya mikopo na kuanzisha mfuko wa kukopa na kulipa ili kuepuka kuathiri ukwasi wa mfuko.
Malipo hewa
Si mikopo tu, ripoti hiyo ya CAG imeonyesha NHIF ilivilipa vituo vya afya madai yasiyo ya kweli yanayofikia Sh14.46 bilioni kwa kipindi cha mwaka 2019/20 hadi 2021/22.
Mbali na hili, CAG amebaini watumishi 146 wakiwemo 129 wa vituo vya afya na wa mfuko huo walijihusisha na vitendo vya udanganyifu.
“Watumishi 146 wa NHIF na wa vituo vya afya walijihusisha na vitendo vya udanganyifu, lakini Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kiliripoti maofisa 17 tu wa mfuko waliojihusisha na vitendo vya udanganyifu kwa kamati za nidhamu,” anasema CAG.
Kuhusu suala hilo, Mziray alisema; "hapa 129 ni watumishi wa vituo vya matibabu, hawa NHIF tuliwaripoti kwenye mabaraza ya kitaaluma na watumishi wa NHIF 17 wameripotiwa kwenye kamati za nidhamu za Mfuko na Jumla ni 146.”
Vilevile, CAG anasema ripoti za kupambana na udanganyifu kati ya 2019/20 na 2021/22 zilibaini kuwepo na madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi ambayo NHIF ilivilipa vituo vya afya.
“Kati ya Sh1.71 trilioni ambazo zililipwa kwa vituo vya kutolea huduma za afya kwa miaka mitatu ya fedha kuanzia 2019/20 hadi 2021/22, Sh14.46 bilioni zililipwa kwa madai ya uongo na yasiyo sahihi.
“Uchambuzi zaidi ulifanyika ili kupata malipo ya madai yasiyo ya kweli, katika vituo vya afya vya binafsi, Serikali na vile vya mashirika ya dini na kubaini vituo binafsi vya huduma ya afya vilikuwa na kiasi kikubwa cha madai yaliyolipwa yasiyo ya kweli ikilinganishwa na vya Serikali.
“Zaidi ya Sh10.38 bilioni zililipwa kwa vituo binafsi na madai katika vituo vya mashirika ya dini ilikuwa ni Sh2.49 bilioni na vituo vya Serikali ilikuwa Sh1.57 bilioni,” alisema CAG.
CAG alisema kumekuwa na ongezeko la madai yasiyo ya kweli na yasiyo sahihi kutoka Sh4.32 bilioni mwaka wa fedha 2019/20 hadi Sh4.55 bilioni kwa mwaka wa fedha 2020/21 na Sh5.59 bilioni katika mwaka wa fedha 2021/22.
Kufuatia hilo, Mziray alisema, "hiyo ya Sh14.46 bilioni ni madai yaliyowasilishwa na vituo vya huduma za matibabu yasiyo ya kweli, ambayo yamepatikana kwenye ripoti za udanganyifu baada ya mfuko kufanya uchunguzi. Na sababu za madai haya zimetajwa hapo kwenye ripoti."
Hasara
Kwa upande mwingine, CAG alibaini mfuko huo ulipata hasara ya Sh205 bilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022, ikilinganishwa na hasara ya kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 ambapo ni Sh104 bilioni.
Akifafanua hilo, Mziray alisema fedha hizo si hasara, bali nakisi iliyotokana na mfuko kuelemewa kwa kuhudumia wagonjwa wengi ikilinganishwa na kiasi kinachokusanywa.
“Nakisi ya Sh205 bilioni inatokana na kwamba mfuko unalipa fedha nyingi zaidi za huduma wanazopata wanachama wake kwenye vituo, kuliko michango wanachama wanayochangia.”
Alisema kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza ambayo awali hayakuwepo nchini ambayo gharama yake ni kubwa kuyatibia ni mojawapo ya NHIF kupata nakisi hiyo.
Katika ripoti hiyo, CAG alisema katika mfuko huo kumekuwa na mtiririko hasi wa fedha katika shughuli zake za uendeshaji ambapo michango inaongezeka kwa asilimia 12.9 wakati matumizi yanaongezeka kwa asilimia 24.6.
CAG anasema taarifa ya tathmini ya mfuko kujiendesha inaonyesha mapato ya matumizi yataendelea kuwa chini na mfuko utatumia ziada iliyokusanywa na hivyo kusababisha ukwasi kuwa hasi ifikapo mwaka 2025.
CAG anapendekeza kuangaliwa upya namna ya kuuboresha mfuko, kuongeza wanachama wa hiari na kuboresha kanzidata ya Tehama na kuboresha usimamizi wa watoa huduma za afya.
Akizungumzia matokeo ya ukaguzo huo, Mwenyekiti wa Chama cha watoa huduma za afya binafsi Tanzania (Aphta), Dk Egina Makwabe alisema vituo binafsi vinaonekana kutumia fedha nyingi katika udanganyifu kwa kuwa hata malipo, kwa asilimia kubwa yanakwenda huko.
Dk Makwabe alifafanua kuwa madai ya udanganyifu kwa mfuko yapo chini ya asilimia 2 ambayo ni ndogo, kwani kwa viwango vya dunia ni asilimia 5.
Hata hivyo alisisitiza hatua za Serikali kuelekea Bima ya Afya kwa Wote ni suluhisho kwa sababu wengi wakichangia si wote wataugua kwa wakati mmoja, hivyo huduma zitaongezeka na wengi watanufaika.
MWANANCHI