Kweli nimeamini sasa Magufuli ni Fisadi. Utawala huu ukiwa mtu makini unapigwa bench ila mazezeta wanapewa vyeo.
Hakuna elimu hapo Ni kuunga tu nilitegemea kuona walau CPA au ACCAThat "Diploma in Financial Management of Donor Funded Project" is a joke. It was conducted in 3 weeks, what sort of a diploma is that? I went through the same "course" but I dare NOT tell people of it.
Tatizo alikoropokea, asije akijiona sasa anaweza tumika na mabeberu, atahama nchi. Na ndiyo maana ya kiapo
Charles Kichere ana elimu nzuri na siyo ya kuunga unga. Nafikiri hiyo Shahada ya Sheria aliyopata miaka kadhaa baada ya kuhitimu mafunzo ya uhasibu ndiyo inayowakanganya watu wafikirie kuwa elimu yake ni ya kuunga unga.Huyu jamaa ana CPA kweli? Alafu mbona elimu yake ina viraka vingi sana?
Ushapigwa za uso. Tafuta jingine.Kutokana na CV ya bwana Kichere inavyoonekana hapo juu inaonyesha CAG wetu mpya hana CPA (T) au sifa nyingine inayolinga na hiyo hivyo kulingana na sheria za NBAA bodi ya wahasibu nchini hana sifa za kuwa CAG,itabidi bodi ya wahasibu itoe ufafanuzi zaidi.
Kwani Kigogo kasema kuna uchafu? Alafu kama kuna uchafu sasa si uufichue.Hatimaye uchafu wote kufichwa
Tuna safari ndefu sana awamu hii
HIVI UNAWEZAJE KUWA C.A.G BILA YA KUWA NA C.P.A , AND ACCREDITED BY NBAA ??
AU MIMI NAOTA MCHANA HUU .???
Kuna mdau amesema jamaa anayo lkn so far kwny CV yake sijaiona na ni mara chache sana Auditor/Accountant kusahau kuweka kwny CV yake suala la CPA mkuu.
Au sijui CV yake last time imekua updated lini.
Vipi mkuu alipata hizo one kweli au alikuwa mzee wa chabo kama aliemteua.Nina mashaka na uwezo wa kicheere upstairs, nimesoma naye, I know him better
Huu unaweza kuwa uteuzi wa kuidhalilisha taasisi ya CAG
Nitaweka, usijibu maswali kihulka hulka za kutafuta ubishi au mabishano. Kuna wakati kukaa kimya ni busara.Weka ya babako
Lete hiyo version ya katiba.We ni mbwekaji hujui Kitu
Sheria inasema CAG ataajiriwa kwa mkataba wa miaka mitano
Huo umri mpelekee uliobaki mpelekee baba ako akamwajiri
Hakuna elimu hapo Ni kuunga tu nilitegemea kuona walau CPA au ACCA
Msimbete wa kuruya..Charles Kichere Mtu ya Nyumbani. Hongera kwa teuzi kwa mara nyingine tena.
Kweli nimeamini sasa Magufuli ni Fisadi. Utawala huu ukiwa mtu makini unapigwa bench ila mazezeta wanapewa vyeo.