Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,029
Kwa hiyo aliweza kuandika diploma ya wiki tatu kwenye CV akasahau kuandika CPA au ACCA.Bila shaka mkuu ndo maana amehudumu kama auditor kwa muda mrefu
Umemaliza Mkuu ila tu apunguze majivuno, watu wa kule wanamsema vibaya mno.Msimbete wa kuruya..
Kwani ametukana wapi mbona sijaona ama Kuna sehemu katukana kisukuma sie wengine tumeshindwa kuelewa?Hivi ukimuheshimu mtu unapungukiwa nini? Huwezi kujenga hoja bila matusi?
Au unadhani upo juu ya sheria
View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
Duu we akili zako wazijua mwenyewe hivi unaelewa ulichokiandika kweli?Tunafurahi msaliti kaondolewa, huwezi kwenda unaropoka mambo ya nyumbani kwako kwa jirani, tena huku unadharau wenzio. Prof kwa ufupi alikosea sana, hata kama kulikuwa na mapungufu basi angeweza kufuata taratibu za nchi badala ya kuropoka, nani asiyejua kuwa mhimili wa bunge unahitaji balance and check? Yeye anaenda kushirikiana na wazungu kuichafua nchi
That "Diploma in Financial Management of Donor Funded Project" is a joke. It was conducted in 3 weeks, what sort of a diploma is that? I went through the same "course" but I dare NOT tell people of it.
Wafuate hao wakoloni kwani hapo duniani? Kama unawapenda sana!...nikisema tokea mwanzo spika alikua anatumika tu kama spika yakuongelea ila muongeaji alikua kajificha nyuma ya mjengo...leo najua watashusha pati la maana kushangilia wasiemtaka wamemweza...nyakati zingine unaweza kusema bora mkoloni angeendelea kuwepo kuliko hawa miungu watu wanaotaka kusifiwa ata kama wanakosea
Cheo ni dhamanaKama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
Acha uongo kama hujui nyamaza nyumb wewe! Ana CPA tangu 2002 na Nambari yake ni 1450 kahakiki NBAACAG wa kwanza asiye na CPA Wala ACCA maajabu hayajaisha
Ongeza volume kidogo'Kipaza sauti' kitakuwa kimefuraahi ile mbaya!
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"Tupunguze au tuhifadhi maneno. Fact1: Mkataba wa CAG Assad unakwisha kesho hivyo mtuaji ameamua mafungano na Prof. yaende kimkataba. Sioni kosa liko wapi (sizungumzii dhamira ya mteuaji. Fact 2: Kachere kielimu ana vigezo vya kuwa CAG na ndiye alieteuliwa. Kiongozi humchagua mtu atakaefanya nae kazi na kamuona Kachere anafaa. Katiba inamruhusu kumchagua huyo. Sasa issue ni ya nini.
Kwa likatiba letu hapa mengine yote ni speculation na hisia. Tumuachie Kachere achape kazi huku tukimonitor utendaji wake. Anaweza kuwashangaza, kwani sasa atalindwa na katiba. Hatuna njia nyengine ya kuchagua maCAG. Kama haturidhiki basi tuendelee kudai katiba mpya, mbona wenzetu wakenya nafasi zote nyeti zina usaili wa wazi na si mtu mmoja ana amua.
Prof. nafikiri ata amua kule chuo sasa retirement ni 65 years.