CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Sasa ndio mtakoma watakavyo chota mipesa kesha fanya family members business naona.
 
View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.

View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.



IMG_20191103_135047.jpg
IMG_20191103_135045.jpg
IMG_20191103_135054.jpg

IMG_-qj1ta6.jpg
IMG_-2df7z5.jpg
IMG_20191103_151935.jpg
 
Tunafurahi msaliti kaondolewa, huwezi kwenda unaropoka mambo ya nyumbani kwako kwa jirani, tena huku unadharau wenzio. Prof kwa ufupi alikosea sana, hata kama kulikuwa na mapungufu basi angeweza kufuata taratibu za nchi badala ya kuropoka, nani asiyejua kuwa mhimili wa bunge unahitaji balance and check? Yeye anaenda kushirikiana na wazungu kuichafua nchi
Duu we akili zako wazijua mwenyewe hivi unaelewa ulichokiandika kweli?
 
Tupunguze au tuhifadhi maneno. Fact1: Mkataba wa CAG Assad unakwisha kesho hivyo mtuaji ameamua mafungano na Prof. yaende kimkataba. Sioni kosa liko wapi (sizungumzii dhamira ya mteuaji. Fact 2: Kachere kielimu ana vigezo vya kuwa CAG na ndiye alieteuliwa. Kiongozi humchagua mtu atakaefanya nae kazi na kamuona Kachere anafaa. Katiba inamruhusu kumchagua huyo. Sasa issue ni ya nini.
Kwa likatiba letu hapa mengine yote ni speculation na hisia. Tumuachie Kachere achape kazi huku tukimonitor utendaji wake. Anaweza kuwashangaza, kwani sasa atalindwa na katiba. Hatuna njia nyengine ya kuchagua maCAG. Kama haturidhiki basi tuendelee kudai katiba mpya, mbona wenzetu wakenya nafasi zote nyeti zina usaili wa wazi na si mtu mmoja ana amua.
Prof. nafikiri ata amua kule chuo sasa retirement ni 65 years.
 
That "Diploma in Financial Management of Donor Funded Project" is a joke. It was conducted in 3 weeks, what sort of a diploma is that? I went through the same "course" but I dare NOT tell people of it.


Huo ni Wivu tu!
 
...nikisema tokea mwanzo spika alikua anatumika tu kama spika yakuongelea ila muongeaji alikua kajificha nyuma ya mjengo...leo najua watashusha pati la maana kushangilia wasiemtaka wamemweza...nyakati zingine unaweza kusema bora mkoloni angeendelea kuwepo kuliko hawa miungu watu wanaotaka kusifiwa ata kama wanakosea
Wafuate hao wakoloni kwani hapo duniani? Kama unawapenda sana!
 
Kama ni hivyo basi ni mbinu za kum shake kisaikolojia ili awe na adabu na mteuzi. Una panda cheo hadi Kamishna wa TRA una enjoy ukuu ghafla unapigwa mtama hadi kuwa RAS bila kutegemea na unanyong'onyea kisha unapewa madaraka yasiyo hojiwa na inakubidi ujikunyate kwa mteuzi kuwa ni mwokozi wako.
Cheo ni dhamana
Tuntemeke Sanga aliwahi kubadilishiwa wizara saba ndani ya miezi miwili,kidogo ajinyonge lakini alipeta
 
uteuzi wa CAG mpya ni uteuzi ambao unakwenda kuiweka Tanzania katika hali mbaya ya matumizi ya pesa za uma. sasa hapa tutegemea report za kupikwa. tutaambiwa kila kitu kiko perfect wakati kila kitu kiko ovyo.
 
Tupunguze au tuhifadhi maneno. Fact1: Mkataba wa CAG Assad unakwisha kesho hivyo mtuaji ameamua mafungano na Prof. yaende kimkataba. Sioni kosa liko wapi (sizungumzii dhamira ya mteuaji. Fact 2: Kachere kielimu ana vigezo vya kuwa CAG na ndiye alieteuliwa. Kiongozi humchagua mtu atakaefanya nae kazi na kamuona Kachere anafaa. Katiba inamruhusu kumchagua huyo. Sasa issue ni ya nini.
Kwa likatiba letu hapa mengine yote ni speculation na hisia. Tumuachie Kachere achape kazi huku tukimonitor utendaji wake. Anaweza kuwashangaza, kwani sasa atalindwa na katiba. Hatuna njia nyengine ya kuchagua maCAG. Kama haturidhiki basi tuendelee kudai katiba mpya, mbona wenzetu wakenya nafasi zote nyeti zina usaili wa wazi na si mtu mmoja ana amua.
Prof. nafikiri ata amua kule chuo sasa retirement ni 65 years.
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti. Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof.Assad amezaliwa tar.06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected.!
FB_IMG_1572779776871.jpg
 
Back
Top Bottom