CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

CAG Prof. Assad astaafu, Charles Kichere ateuliwa kuwa CAG mpya

Naona somo la hisabati kwako lilikuwa noma!
2019 - 1970 = 49 Hesabu ya kutoa na kukopa tu ndugu yangu imekushinda na kuambulia zero. Ingalikuwaje kama ingalikuwa ya differentiation tuliyokuwa tunafundishwa darasa la kumi?
Siku soma hesabu mkuu na pia nilikosea badala ya kuweka 1970 niliweka 1960 ndo maana likaja jibu hilo...vipi wewe unaejua differentiation upo wapi kimaisha?
 
Ninachojua Rais Magufuli hajawahi kuwa serious na vita anayopigana na siku akiwa serious anaweza kuwa Rais bora.
Alichofanikiwa ni kutumia kodi zetu kutengeneza wafuasi ya dini yake mpya ya kusifia kila kitu na hapa anaenda kufanikiwa, ni dhahiri kila siku bajeti ya kutengeneza waimba mapambio inaongezeka wakati ile ya kuondoa umasikini kwa raia wa kawaida ikipungua.
Hivi unaweza kuwa na Rais mwenye uchungu wa nchi( sio anayependa kusifiwa hata kwenye ujinga) akakuaminisha kuwa huyu hafai kuwa boss wenu kwenye swala nyeti la kukusanya mapato halafu baada ya muda anakuambia huyu ndio boss wenu kwenye kuchunguza matumizi ya hela yenu.
Ikumbukwe Rais Magufuli hakulazimishwa kumtengua huyu mtu, alituambia mwenyewe huyu hatoshi....Sasa kama Rais yupo serious na vita anayopigana katika Watanzania wote huyu alituambia kashindwa kapata wapi ujuzi haraka kuwazid waliobaki?
Kwakuwa hajavunja katiba kumteua huyu mtu basi tunaendelea kunyamaza kama tulivyonyamaza baada ya kutujazia makada kwenye nafas za utendaji.
Kitu tunatakiwa kufanya kwa sasa ni kumuacha Rais Magufuli afanye atakavyo hata akitaka kuongeza muda wa kubaki madarakani muacheni nchi itamshinda ataanza kupigana na CCM wenzake na hapo ndio atajizika mwenyewe.
Uhuru wa ofisi ya CAG umekoma kwa uteuzi huu.Kuanzia sasa CAG kufata matakwa ya maagizo ya juu.
 
Ila ajabu huyu mteuliwa upya nae ana miaka 59..kwaio mwakani anakua elligible kustaafu hivyo kama ataficha vizuri mambo flani ya mtoto wa dada atakua extended au anaweza pigwa chini akaletwa mwingine ila huyu ataendelea kula maisha maxuri ya pensheni...
Wewe zitto kabwe ebu tuliza wenge.
 
Rais Magufuli kashusha hadhi ya sekta zote. Sasa tunaona mkuu wa majeshi akifanya kazi za jeshi la polisi na kukagua miradi ya maendeleo. Jaji mkuu hana mamlaka tena na DPP kupitia kivuli cha Magufuli ndiye Jaji mkuu. Spika sasa ni mtumishi wa ikulu. Kavuruga sana aisee na sasa CAG anaenda kufanyia kazi sms atakazotumiwa na Magufuli
 
Siku soma hesabu mkuu na pia nilikosea badala ya kuweka 1970 niliweka 1960 ndo maana likaja jibu hilo...vipi wewe unaejua differentiation upo wapi kimaisha?
Maisha wanafaidi wanasiasa. Tuliosoma differentiation tupo nowhere kimaisha. Maana tukizipiga hizo hesabu, kwenye biashara zileta jibu la kutia wasiwasi. Kwenye siasa nako zinatoa jibu la null and void! Ni shida tupu. Najua wewe lazima maisha yanakuendea vizuri kwani ulikaa mbali na hisabati. Hongera sana. Nami ningalijua ningalifanya hivyo.
 
Maisha wanafaidi wanasiasa. Tuliosoma differentiation tupo nowhere kimaisha. Maana tukizipiga hizo hesabu, kwenye biashara zileta jibu la kutia wasiwasi. Kwenye siasa nako zinatoa jibu la null and void! Ni shida tupu. Najua wewe lazima maisha yanakuendea vizuri kwani ulikaa mbali na hisabati. Hongera sana. Nami ningalijua ningalifanya hivyo.
Ni kweli mkuu nilivyokaaga mbali na hisabati nilijua nimepoteza muelekeo lakini Mungu aliniona watu wanalalamika maisha magumu lakini ninapanga mipango kama vile hakuna ugumu wowote ule mkuu..nilipofika si mbali ila si haba..nashukuru Mungu...
 
Only in Tanzania. Miezi michache tu alimtumbua toka TRA hadi kuwa RAS.
Alisema dhahiri kashindwa kazi TRA. Sasa ataweza kuwa CAG na elimu yake yenye mashaka?
Ndiyo hapo sasa ushangae. Mtu hata ukiangalia huo wasifu wake unatia mashaka. Na miezi kadhaa tumeambiwa ni kilaza kwa kuchemka kama Kamishna.
 
Nchi ya ajabu kweli wakati mwingine tunalaumu wataalamu wabovu wanamuangusha wakati ukweli ni kwamba Magu mwenyewe anawateua.

Huyu mbona anaonekana not certified ACCA accountant sidhani duniani kama utakuta chief auditor wa kampuni yenye thamani ya $10m tu anapewa hiyo nafasi bila ya icho cheti let alone an auditor general of the nation Magu is mocking proffesional qualification katika nafasi za kitaaluma yule mwengine nae BoT not even an economists.
 
View attachment 1252682

Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad

Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.

BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA VILIVYOIBUA MJADALA:

View attachment 1252913
View attachment 1252910


WASIFU WA KICHERE:

NAME : Charles Edward Kichere

DATE OF BIRTH : 26th March 1970

LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.

ACADEMIC QUALIFICATIONS

November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).

December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).

June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.

November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.

May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.

November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1

Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).

He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.

Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.

He is a member of the Credit and Audit Committees.
Mkaguzi mkuu wa serikali ni mwanasheria...Ookay...
 
Back
Top Bottom