Hivi kumbe mwaka1970 Hadi mwaka 2019 ni miaka 59? Inabidi nirudi la kwanza, nikafundishwe upya hesabu za kutoa.Ila ajabu huyu mteuliwa upya nae ana miaka 59..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe mwaka1970 Hadi mwaka 2019 ni miaka 59? Inabidi nirudi la kwanza, nikafundishwe upya hesabu za kutoa.Ila ajabu huyu mteuliwa upya nae ana miaka 59..
Walikuwa wamemkawiza ....!!! Mtu anafanya kazi Kwa lengo la kutafuta udhaifu wako, uonekane unazuga....
Siku soma hesabu mkuu na pia nilikosea badala ya kuweka 1970 niliweka 1960 ndo maana likaja jibu hilo...vipi wewe unaejua differentiation upo wapi kimaisha?Naona somo la hisabati kwako lilikuwa noma!
2019 - 1970 = 49 Hesabu ya kutoa na kukopa tu ndugu yangu imekushinda na kuambulia zero. Ingalikuwaje kama ingalikuwa ya differentiation tuliyokuwa tunafundishwa darasa la kumi?
Uhuru wa ofisi ya CAG umekoma kwa uteuzi huu.Kuanzia sasa CAG kufata matakwa ya maagizo ya juu.Ninachojua Rais Magufuli hajawahi kuwa serious na vita anayopigana na siku akiwa serious anaweza kuwa Rais bora.
Alichofanikiwa ni kutumia kodi zetu kutengeneza wafuasi ya dini yake mpya ya kusifia kila kitu na hapa anaenda kufanikiwa, ni dhahiri kila siku bajeti ya kutengeneza waimba mapambio inaongezeka wakati ile ya kuondoa umasikini kwa raia wa kawaida ikipungua.
Hivi unaweza kuwa na Rais mwenye uchungu wa nchi( sio anayependa kusifiwa hata kwenye ujinga) akakuaminisha kuwa huyu hafai kuwa boss wenu kwenye swala nyeti la kukusanya mapato halafu baada ya muda anakuambia huyu ndio boss wenu kwenye kuchunguza matumizi ya hela yenu.
Ikumbukwe Rais Magufuli hakulazimishwa kumtengua huyu mtu, alituambia mwenyewe huyu hatoshi....Sasa kama Rais yupo serious na vita anayopigana katika Watanzania wote huyu alituambia kashindwa kapata wapi ujuzi haraka kuwazid waliobaki?
Kwakuwa hajavunja katiba kumteua huyu mtu basi tunaendelea kunyamaza kama tulivyonyamaza baada ya kutujazia makada kwenye nafas za utendaji.
Kitu tunatakiwa kufanya kwa sasa ni kumuacha Rais Magufuli afanye atakavyo hata akitaka kuongeza muda wa kubaki madarakani muacheni nchi itamshinda ataanza kupigana na CCM wenzake na hapo ndio atajizika mwenyewe.
Hahahaah hakika nilifanya kosa kimahesabu...Hivi kumbe mwaka1970 Hadi mwaka 2019 ni miaka 59? Inabidi nirudi la kwanza, nikafundishwe upya hesabu za kutoa.
Wewe zitto kabwe ebu tuliza wenge.Ila ajabu huyu mteuliwa upya nae ana miaka 59..kwaio mwakani anakua elligible kustaafu hivyo kama ataficha vizuri mambo flani ya mtoto wa dada atakua extended au anaweza pigwa chini akaletwa mwingine ila huyu ataendelea kula maisha maxuri ya pensheni...
Duu ukweli au uongo embu Wana Jamvi dadavueniView attachment 1252939
Ikiwa Hakufaa TRA atafaa uCAG...!!!???Hatimaye uchafu wote kufichwa
Tuna safari ndefu sana awamu hii.
Maisha wanafaidi wanasiasa. Tuliosoma differentiation tupo nowhere kimaisha. Maana tukizipiga hizo hesabu, kwenye biashara zileta jibu la kutia wasiwasi. Kwenye siasa nako zinatoa jibu la null and void! Ni shida tupu. Najua wewe lazima maisha yanakuendea vizuri kwani ulikaa mbali na hisabati. Hongera sana. Nami ningalijua ningalifanya hivyo.Siku soma hesabu mkuu na pia nilikosea badala ya kuweka 1970 niliweka 1960 ndo maana likaja jibu hilo...vipi wewe unaejua differentiation upo wapi kimaisha?
ndio mkuu,,sisi wa kanda ile ivi vitu muhimuNi Mkurya, unataka kutambika?
Rejea mfanyabiashara ..................................! wa kariakooNdo huyu alikuwa Njombe kama RAS?
Ni kweli mkuu nilivyokaaga mbali na hisabati nilijua nimepoteza muelekeo lakini Mungu aliniona watu wanalalamika maisha magumu lakini ninapanga mipango kama vile hakuna ugumu wowote ule mkuu..nilipofika si mbali ila si haba..nashukuru Mungu...Maisha wanafaidi wanasiasa. Tuliosoma differentiation tupo nowhere kimaisha. Maana tukizipiga hizo hesabu, kwenye biashara zileta jibu la kutia wasiwasi. Kwenye siasa nako zinatoa jibu la null and void! Ni shida tupu. Najua wewe lazima maisha yanakuendea vizuri kwani ulikaa mbali na hisabati. Hongera sana. Nami ningalijua ningalifanya hivyo.
CV HAIFANYI KAZI. MSUKUMA HANA ILIMU LAKINI ANACHANGIA VITU VYA MAANA BUNGENI KULIKO MA PROFESA....Nikiangalia hiyo CV ya Kichere nikilinganisha na Gwiji Assad nabaki kusikitika.
Ndiyo hapo sasa ushangae. Mtu hata ukiangalia huo wasifu wake unatia mashaka. Na miezi kadhaa tumeambiwa ni kilaza kwa kuchemka kama Kamishna.Only in Tanzania. Miezi michache tu alimtumbua toka TRA hadi kuwa RAS.
Alisema dhahiri kashindwa kazi TRA. Sasa ataweza kuwa CAG na elimu yake yenye mashaka?
Kama Bashite ni RC wa Dar na anaweza fanya chochote kwa mtu yoyote bila kuguswa unashangaa nini kumuona Kichele akiwa CAG?
Rais wetu yeye ndio katiba na bahati mbaya yeye ndio mmiliki wa hii nchi.
Mkaguzi mkuu wa serikali ni mwanasheria...Ookay...View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA VILIVYOIBUA MJADALA:
View attachment 1252913
View attachment 1252910
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.