CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

Stendi za daladala huwa zinakengwa nje ya hifadhi ya barabara? Hivi huwa mnapata faida gani hasa pale mnapotoa ubongo kichwani na kujaza funza?
Nafikiri wewe ndio umejaza funza kichwani, sababu huna uwezo wa kumwelewesha mtu kwa staha pale unapoona amatoa hoja lakini kuna kitu cha kisheria hakifamu.
 
Kuna wakati nafasi inajawa na matusi makubwa makubwa, Lakini si busara kutukana.

Sasa hiyo stand imejengwa kwa muda gani?. One week, or one month?
Stand imekamilika na imeanza kufanya kazi mtu anatoka huko alikotoka Unakuja kusema itaongeza foleni kwenye eneo hukusika, unabaki na maswali ana maana gani?
Au tubomoe stand, tuingie hasara ya mabilioni ya fedha.
Au tufanye he?....

#Haimeki sensi.

Machepele Tanzania
 
Mwendazake atabaki kuwa raisi wangu bora, kwa machache aliyofanya hata kama hayanatija, ame prove nchi hii inaweza fanya makubwa, kuliko wale wapuuzi wachache waliokua wanabeba mabilion ya pesa (wasaka tonge)kwa faida ya familia zao na matumbo yao, hata wamponde vipi bado nitasimama nae na kumkubali mpaka mwisho.
 
Hili nalo kwanini halikusemwa mzee alipokuwa hai?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…