CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

Cag kagua value of iliyotumika kujenga jengo Hilo cyo kuja kujipendekeza eti haikuwa kwenye mpngo...hv hayo maneno ungesubutu kumuambia mwenda zake
Asingeweza kumwambia kwa sababu mwendazake alikuwa dikteta angempoteza
 
Hii statement haijaa poa nadhani kuna options zilitolewa ili kudhibiti foleni sasa kwakuwa jiwe ni mjenzi freemason akaamua kukomaa na kujenga badala ya hizo proposed options , kila kitu kitajulikana tu ni suala la muda tu bandugu
 
Mwenda zake mwanasayansi, injinia, chemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, mkemia mkuu, daktari mkuu, spika wa bunge, jaji mkuu, kamanda wa polisi,sheikh na paroko in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
Umekalia kitu kizito nyuma kinachocheuwa...lazima uropokwe
 

CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.

Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.

Ukinizingua Nitakuzingua!
Mwendelezo wa madduddu ya Magufuli.
 
Misenge sana hii mijitu, yalikua wapi kumwambia marehemu kabla asijenge.
Kila kitu sasa mnatupia kaburi, Mlaaniwe
Walikua wanamuogopa kuliko maelezo. Waliwahi kuambiwa BUNGE ni dhaifu wakatokwa povu na mishipa ikawasimama dede.
 
Suluhisho ni kuanzisha barabara nyingi na kufanya upanuzi wa barabara zilizopo.
 
Back
Top Bottom