Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ya ghorofaJIWE alikuwa mkurupukaji ndio maana akalazimisha CRDB ijengwe chato.
Haaahaaaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mwenda zake mwanasayansi, injinia, chemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, mkemia mkuu, daktari mkuu, spika wa bunge, jaji mkuu, kamanda wa polisi,sheikh na paroko in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
huyu CAG atakuwa chadema achunguzwe hawa wametuchelewesha sana ndugu zangu
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
hiyo process kila mtu atapita.....Assad alikuwa anamchefua stpd fulani sasa hivi analiwa na funza.
Na Bandari ya Bagamoyo wanataka ijiengwe, hahah, sasa kazi ya SGR itakuwa ni nini?Kwahiyo irudishwe Ubungo... nchi ngumu sana hii
Kwahiyo CAG ni mkaguzi wa mipango miji? DuuhMojawapo na solution ni ujenzi wa njia Mbezi shule mpaka Bunju via mabwepande ili mabus yote yaendayo kaskazini yapite hapo bila kurudi Morogoro road,
Pili njia ya Kibamba mpiji Magoe makabe njia panda ya Goba hii itakuwa Kama Mbezi bypass.
Lakini pia kutoka mloganzira kwenda kisarawe au kinyerezi hizi ziwe Kama bypass au ring road na mwisho ujunzi wa daraja mbezi
Stendi za daladala huwa zinakengwa nje ya hifadhi ya barabara? Hivi huwa mnapata faida gani hasa pale mnapotoa ubongo kichwani na kujaza funza?Kwani stendi imejengwa ndani ya hifadhi ya barabara? Tunafahumu mbezi - kimara kulikuwa na bomoabomoa, sasa inakuwaje wenyewe wanajenga ndani ya hifadhi.
Kule ndio hayo mabasi hayatasababisha foleni wakati wa kuingia na kutoka kituoni, sio?Haya bomoeni mrudi ubungo simple.
Mwenda zake mwanasayansi, injinia, chemist, IGP, gavana wa BOT, msanifu wa barabara na majengo, mkemia mkuu, daktari mkuu, spika wa bunge, jaji mkuu, kamanda wa polisi,sheikh na paroko in short mwenda zake alikua anamudu sekta zote, ona sasa matokeo yake
Hii nchi ilikuwa ikiendeshwa na mtu mmoja tu, kilichofanyika hapa ni kuwa Tamisemi, haikuwashirikisha Tanroad kwenye ujenzi huo, wakati wakijua ndio wasimamizi wa hiyo barabara inayojengwa!!Duuuuuu sa itakuwaje ndugu wajumbe gharama zote zilizotumika. Itakuwa ushauri ulitolewa ukakataliwa
Tuliza tako mama madudu yameanza kuonekana utakufa kwa pressure
Apo shida sio mahesabu shida ni kuchafua kila jambo alilo fanya Magufuli aonekane alikua kiongozi mjinga kuwahi kutokea wakwere siunawajua fitna zaoHuyo CAG huko ni ujipendekeza ama ni nini!!??
foleni zipo kwenye mahesabu anayokagua!!??
Hesabu pamoja na uhalali wake wa kutumika hizo fedha
Mradi wa umeme kujengwa kwa upembuzi uliofanywa miaka 50 nyuma ni bomu jingine pia.
Mimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji