CAG: Stendi ya Magufuli, Kibamba itaongeza foleni ya magari

Hii minne ya mwisho inaweza kuwa vituko na mipasho tu. Sasa CAG hajaona upigaji kwenye ujenzi anahangaika na foleni?!
 
Nishaitumia kidogo nichelewe basi, maana nilikadiria kutoka kimara stopover mpaka mbezi stendi nisingeweza tumia dak 30, zilizidi hadi 50.
 
Nilishangaa sana uamuzi ule wa hovyo kupata kutokea. Kastendi kwanza kidogo kuhimili mabasi ya mikoani na nje ya nchi. Pia miundombinu ya barabara haiatawanyika kama ubungo. Kisa eti kupisha UDA ya kifisadi iweke stendi Ubungo. Ni kujitoa ufahamu sana.

Kifupi mnaohoji CAT kuoditi kituo ni kwamba kwenye auditing siyo hesabu tu bali kuangalia ufanisi kiutendaji na miongozo ya utejekezaji. Hivyo yuko sawa. Hivyo wanaangalia pia utendaji wa Menejimenti za mihimili yote na Taasisi na wanatoa kitu inaitwa Management Letter yenye hoja zilizoibuliwa na kuhitaji maelezo na utekelezaji wake.
 
Mimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji
Kuliweka wazi kunatoa fursa pana ya kutoa wazo ya nn kifanyike kuepuka tatizo...
Mfano kuna mdau kaeleza ushauri wa kutengeneza bypass kwa baadhi ya maeneo kutokea hapo Mbezi kuliko kutegemea njia moja ili kutoa uwezekano wa uwepo wa foleni...
Hii ni nzuri ili kama wanamacho, masikio, busara na hekima za kupokea ushauri...
Basi wafanyie kazi ili kuondoa usumbufu wa kuja kukosolewa hapo baadaye kama ilivyo/inavyotokea sasa..
 
Pale kushakua tatizo sasa hivi,muda mwingine foleni ya kutokea goba kwenda mbezi inaanzia makabe kule
 
Mkuu mbezi iko jimbo la kibamba I guess
 
Mimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji
Unaijua foleni ya mbezi wewe? Kumbuka kuna kituo cha daladala na mwendokasi pia. Achilia magari ya watu binafsi. Ukishuka Mbezi bus terminsl saa 11 jioni mpaka ufike nyumbani Mbande ni saa 5 usiku. Hapo kuna wa Mkuranga n.k
 
Huu siyo mtihani meku!
 
Hv ni kweli hayo? watatuambia nn mataga waliokuwa wanasifu tu tunahitaji katiba mpya asije akatokea mtu mwingine kama jiwe na kuturudisha nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…