Hii minne ya mwisho inaweza kuwa vituko na mipasho tu. Sasa CAG hajaona upigaji kwenye ujenzi anahangaika na foleni?!
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Nishaitumia kidogo nichelewe basi, maana nilikadiria kutoka kimara stopover mpaka mbezi stendi nisingeweza tumia dak 30, zilizidi hadi 50.Stand haipo kwenye hifadhi ya barabara isipokuwa ili mabasi kutoka kituoni ni LAZIMA yatasababisha foleni,anachoelezea CAG ni kuwa wakati wa ramani ya mradi wa njia 8 hakukukuwa na hiyo plan ya stand kuwa hapo ilipo hivyo imeleta MWINGILIANO,yamkini kama kwenye ramani wangeambiwa wangejuwa namna ya kufanya.
Ku mjumbe katoa wazo hapa labda waijenge barabara ya mpigi magoe inayopitia magwepande na kutokea bunju ili mabasi ya kaskazini yapite huko na yasiingie kabisa morogoro road.
Kwasasa kama umefanikiwa kuitumia hiyo stand asubuhi utaelewa anachokisema CAG kuna kuwa na foleni sana wakati wanatoka stand.
CAG anakagua mpaka kitabu cha mahudhurio wafanyakazi.Hivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Bora turudi UbungoHaya bomoeni mrudi ubungo simple.
Kila kitu bwashee!Hivi CAG anakagua hesabu za serekali au kila kitu
Naona kapewa sumu na yule waliomfanyia firigisiHuyu CAG atakuwa katumwa na MABEBERU[emoji44][emoji44]
Kwa taarifa yako ofisi ya CAG ina wataalamu wa fani zote!I have the same swali..NILIDHANI YA ROAD ndo wangeongea haya
Yaani wamejificha uvunguni MATAGA. Aibu yote wapeleke wapi?Hivi Pasco Mayalla yupo au anasoma ripoti ya CAG aje kukanusha
Kuliweka wazi kunatoa fursa pana ya kutoa wazo ya nn kifanyike kuepuka tatizo...Mimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji
Pale kushakua tatizo sasa hivi,muda mwingine foleni ya kutokea goba kwenda mbezi inaanzia makabe kulePia daraja lililojengwa hapo mloganzila ndilo lilitakiwa likajengwe na pale mbezi ili magari ya goba. Kwenda maramba mawili yapite juu , hii mada ilijadiliwa sana hapa Jf kabla hata ya ujenzi, ila kuna watu humu walijiona mainjinia ati tusubiri hadi pakamilike .
Hakuna nchi hapaHii nchi hiii
kwahyo hata CAG naye amekuwa mpinga kristo?!.....nchi ngumu sana...yooote hiyo nikutaka kuonyesha kuwa makufuli alikosea tutaona mengi
Mkuu mbezi iko jimbo la kibamba I guess...Kwanza KIBAMBA hakuna Stendi ya Magufuli. IPO Mbezi Mwisho.
Na hii ya Mbezi Mwisho hata kwa kuangalia tu kwa macho, ipo NNE Kabisa ya Hizi Njia Name zinapopaswa kuishia!
Hata flyover inayojengwa mbele ya Stand hiyo inathibitisha hili!
Hiyo iliyopo Kibamba ni ipi? Jitahidi kufanya Upembuzi Yakinifu kwanza wa unachotaka kuandika au usikiacho...!
Unaijua foleni ya mbezi wewe? Kumbuka kuna kituo cha daladala na mwendokasi pia. Achilia magari ya watu binafsi. Ukishuka Mbezi bus terminsl saa 11 jioni mpaka ufike nyumbani Mbande ni saa 5 usiku. Hapo kuna wa Mkuranga n.kMimi nadhani siyo kila kitu Lazima Serikali iwe inaongea. Kama Hili halikuwa na sababu ya kulitamka, maana wanaweza kulirekebisha vizuri tu, sitaki kuamini kuwa hiki kituo no tatizo kubwa Sana kiasi hicho. Ila shida kila mtu msemaji
Huu siyo mtihani meku!...Kwanza KIBAMBA hakuna Stendi ya Magufuli. IPO Mbezi Mwisho.
Na hii ya Mbezi Mwisho hata kwa kuangalia tu kwa macho, ipo NNE Kabisa ya Hizi Njia Name zinapopaswa kuishia!
Hata flyover inayojengwa mbele ya Stand hiyo inathibitisha hili!
Hiyo iliyopo Kibamba ni ipi? Jitahidi kufanya Upembuzi Yakinifu kwanza wa unachotaka kuandika au usikiacho...!
Hv ni kweli hayo? watatuambia nn mataga waliokuwa wanasifu tu tunahitaji katiba mpya asije akatokea mtu mwingine kama jiwe na kuturudisha nyuma
CAG amesema stendi ya mabasi ya Magufuli iliyopo Kibamba manispaa ya Ubungo haikuwemo katika usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia 8 kutoka Ubungo hadi Kibaha.
Kwa maana hiyo stendi ya Magufuli itaongeza msongamano wa magari tofauti na lengo la mradi huo wa barabara la kuondoa kabisa foleni kati ya Ubungo na Kibaha.
Ukinizingua Nitakuzingua!
kwahyo hata CAG naye amekuwa mpinga kristo?!.....nchi ngumu sana...yooote hiyo nikutaka kuonyesha kuwa makufuli alikosea tutaona mengi