Camara nae apewe maua yake..Hili goli sawa na goli la Yanga alilorudiaha mpira ndani..Maua yako mpendwa

Camara nae apewe maua yake..Hili goli sawa na goli la Yanga alilorudiaha mpira ndani..Maua yako mpendwa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huyu kijana ninashauri apewe maua yake


Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli


Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko nyuma yle mpira angeuacha ulikuwa n kona


Hakukuwa na haja ya kurudisha ndan mpira kama umeshajua ukubwa wake.... Maua yakooo kwako camara
 
HAMJAONA MSAADA WA CHASAMBI MMEONA MAKOSA YAKE TU
 
Back
Top Bottom