Cambiasso nao sijui GSM kawapa shingapi ili waikamie Simba?

Cambiasso nao sijui GSM kawapa shingapi ili waikamie Simba?

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ni mechi ya kirafiki iliyopigwa jana simba amedroo na academy ya cambiasso goli 2-2, lakini ingekuwa mechi ya ligi wangeanza kupiga mayowe kuwa wanakamiwa na timu zilizopewa ela na gsm wakati uwezo wao ndo umeishia hapo.

Kinachotokea kwenye uwanja wa mazoezi ndo kinareflect kinachokuwa kinakwenda kutokea kwenye mechi rasmi, mpira auna njia ya mkato au ujanja ujanja vinginevyo utakuumbua adharani na kukuaibisha maana unachezwa adharani kila mtu anaona.

Wazee wa fair competition kazi kwenu.
 
Nauliza tuu ila sio kwa ubaya, hivi nyie uto mliwezaje kukaa misimu minne mfulizo huku timu lenu kikiwa nibovu na kufanya vibaya? Au ndo kama semaji la dunia lilivosema kuwa hamnazo?

Maana ssc fans timu ikifanya upuuzi tunang'oa viti, timu inaboreka. Kutimua kocha asipofikia malengo kawaida sana.

Hivi nyyie uto mliishije kwani? Mana naona mnavokenua leo dizaini kama hiyo furaha mliimic sana eeh?

Kweli uto hamnaga akili ndio mana gemu tano tuu hizi mmeshatangaza ubingwa. Nitabaki simba milele asee ili niheshimike na mke na watoto wangu.
 
Jibu hoja iliyopo ndo maana rage akawaita mbumbumbu akukosea, hoja iliyopo apo sio suala la uandishi lakini inaonyesha majibu ya kuijibu hoja husika ayapo mnabaki kuamisha mada, Ok ngoja tuone makosa ya uandishi wangu kama ndio yatawakomboa uwanjani mtakapokuwa mnachezea vitasa lakini mfunge mabakuli yenu atutaki kuwa tunasikia ngonjera zenu apa za kukamiwa wakati timu yenyewe ni tripu shamba tripu gereji
Mkuu jitahidi kuandika kwa umakini upunguze makosa.

unaweza kuwa na hoja lakini ikawa dhaifu kutokana na aina ya uandishi.

Kubali kukosolewa uendelee
 
Wabongo hatujui mpira, mechi za kirafiki mbona sio ishu, liverpool, man city, bayern munich na timu kubwa karibu zoote huwa wanapata matokeo km haya wakati mwingine, sio kesi.
Hahaha Simba vs Aston Villa mlipigwa za kutosha
 
Nauliza tuu ila sio kwa ubaya, hivi nyie uto mliwezaje kukaa misimu minne mfulizo huku timu lenu kikiwa nibovu na kufanya vibaya? Au ndo kama semaji la dunia lilivosema kuwa hamnazo?...
Basi mjiandae kuwa na maumivu kwa misimu mitano ijayo na sio msimu huu tuu
 
Jibu hoja iliyopo ndo maana rage akawaita mbumbumbu akukosea, hoja iliyopo apo sio suala la uandishi lakini inaonyesha majibu ya kuijibu hoja husika ayapo mnabaki kuamisha mada, Ok ngoja tuone makosa ya uandishi wangu kama ndio yatawakomboa uwanjani mtakapokuwa mnachezea vitasa lakini mfunge mabakuli yenu atutaki kuwa tunasikia ngonjera zenu apa za kukamiwa wakati timu yenyewe ni tripu shamba tripu gereji
Hata kama una hoja mwandiko mbaya unachangia mada ionekane ya hovyo
 
Wabongo hatujui mpira, mechi za kirafiki mbona sio ishu, liverpool, man city, bayern munich na timu kubwa karibu zoote huwa wanapata matokeo km haya wakati mwingine, sio kesi.
Naomba uniambie ni lini mara ya mwisho Bayern, Liverpool au man City alitoa draw mechi kirafiki na timu ya Academy
 
Wabongo hatujui mpira, mechi za kirafiki mbona sio ishu, liverpool, man city, bayern munich na timu kubwa karibu zoote huwa wanapata matokeo km haya wakati mwingine, sio kesi.
Uko sahihi kabisa, mechi za kirafiki ni kipimo tu cha kuona wapi pana mapungufu uongeze wapi pako vizuri uimarishe.

Lakini pia kusema timu haishindi kwa sababu inakamiwa na timu nyingine ni sababu za kihuni. Ni kuchepusha udhaifu wa timu ili mashabiki wasio na uelewa waone ndo sababu za timu yao kushindwa.

Hakuna mechi ambayo timu hazikamiani labda ziwe zimenunuana. Soka ni kukamiana ndo maana ya ushindani, wanaotoa sababu hiyo watafute nyingine.
 
ajaja =hajaja , mkuu au unaandika kitoto?
Makosa tu ya kiuandishi, we umeona hiyo alama ya mkato ulipoiweka!? Nyani haoni kundule. [emoji23][emoji86]

Unapotype haraka haraka, wakati mwingine unagusa herufi sio, au wakat mwingine unagonga kioo na herufi isitokee bila kujua.
 
Ni mechi ya kirafiki iliyopigwa jana simba amedroo na academy ya cambiasso goli 2-2, lakini ingekuwa mechi ya ligi wangeanza kupiga mayowe kuwa wanakamiwa na timu zilizopewa ela na gsm wakati uwezo wao ndo umeishia hapo.

Kinachotokea kwenye uwanja wa mazoezi ndo kinareflect kinachokuwa kinakwenda kutokea kwenye mechi rasmi, mpira auna njia ya mkato au ujanja ujanja vinginevyo utakuumbua adharani na kukuaibisha maana unachezwa adharani kila mtu anaona.

Wazee wa fair competition kazi kwenu.
Wachezaji wa Simba wanawakilsha timu zao za Taifa...cambiaso alicheza na kikosi B chenye baadhi ya wachezaji wachache wa SImba A...Simba wakiamua kucheza mechi za kirafiki hawatafuti wala urojo wataenda Zambia ama nchi nyingine kubwa kubwa katika soka la Africa
 
Wachezaji wa Simba wanawakilsha timu zao za Taifa...cambiaso alicheza na kikosi B chenye baadhi ya wachezaji wachache wa SImba A...Simba wakiamua kucheza mechi za kirafiki hawatafuti wala urojo wataenda Zambia ama nchi nyingine kubwa kubwa katika soka la Africa
[emoji23][emoji23][emoji23]pole kolo
 
Back
Top Bottom