Maximum payout inakuwa kabla haujaweka hela.Kama ndiyo maximum payout achukue tu. Ni muhimu kusoma Terms & Conditions.
Vigezo gani?ndo hvyo ila mwsho wa siku hawatomlipa zaidi ya hiyo maana alikubali vigezo na sharti kabla ya kubeti,
kila kampuni ina vigezo na masharti ambavyo inabd uvisome na kuvikubali kabla ya kujisajiri na karibu kila kampuni ina maximum amount mtu unayoweza win, kuna kampuni nyngne zinakwambia zinaweza funga akaunti yako bila sababu au taarifa-wakiona unawapiga sana kupitiliza wanafunga akaunti awataki tenaVigezo gani?
Huo ndo utapelikila kampuni ina vigezo na masharti ambavyo inabd uvisome na kuvikubali kabla ya kujisajiri na karibu kila kampuni ina maximum amount mtu unayoweza win, kuna kampuni nyngne zinakwambia zinaweza funga akaunti yako bila sababu au taarifa-wakiona unawapiga sana kupitiliza wanafunga akaunti awataki tena
yeah utapeli uliohalalishwa, so inabd usome hizo terms and conditions ili ujue unaishi vp na kampuni husikaHuo ndo utapeli
Hapo kwenye maximum amount nahisi hua iko fixed hata uweke shingap kama Ni m10 ndo hiyo hiyo haizidi hapokila kampuni ina vigezo na masharti ambavyo inabd uvisome na kuvikubali kabla ya kujisajiri na karibu kila kampuni ina maximum amount mtu unayoweza win, kuna kampuni nyngne zinakwambia zinaweza funga akaunti yako bila sababu au taarifa-wakiona unawapiga sana kupitiliza wanafunga akaunti awataki tena
Huo mchezokila kampuni ina vigezo na masharti ambavyo inabd uvisome na kuvikubali kabla ya kujisajiri na karibu kila kampuni ina maximum amount mtu unayoweza win, kuna kampuni nyngne zinakwambia zinaweza funga akaunti yako bila sababu au taarifa-wakiona unawapiga sana kupitiliza wanafunga akaunti awataki tena
Kutoka kwenye b zaidi ya 40,sio poaHata hiyo aliyopewa ni takriban 1.5b ukibadiliz to tzs which is not a bad deal