- Thread starter
- #41
amejisahisha kiana kwenye mwanaspot ya leo
binafsi nawapongeza cameroon kwa hatua walioifikia,kwani ni timu inayoundwa na vijana wengi wasio na majina makubwa,ila ni nafasi kwetu watanzania kujifunza,kuhusu @EddoKumwembe ule ni mtazamo wake na maoni yake