Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Ni kufuatia Mauaji ya Martinez Zogo, na mwili wake kutupwa Nje kidogo ya Mje Mkuu Yaoundè, Jan. 22, 2023 baada ya kutekwa nyara na watu wasiojulikana
Siku chache kabla ya kifo chake, Mwandishi huyo aliyekuwa Mkosoaji wa Serikali, alikuwa ametishia kufichua Ufisadi Serikalini
Shirika la kutetea haki za Vyombo vya Habari la #ReportersWithoutBorders limetoa wito kwa Mamlaka kufanya Uchunguzi huru kuhusu Mauaji hayo, na kuyaita pigo kubwa kwa #Demokrasia na Uhuru wa Vyombo vya Habari
.................................
Cameroonian journalists have called for more protection following the murder of their colleague Martinez Zogo, who was a critic of the government.
Mr Zogo’s multilated body was found near the capital, Yaoundé, on Sunday, five days after being abducted by unknown people.
Prior to his death, he had threatened to expose corruption in government.
Media rights group Reporters Without Borders called on the authorities to conduct an independent investigation into the killing, calling it a “grave blow to democracy and press freedom”.
“We urge the Cameroonian authorities to conduct an independent investigation that does not falter, and to end the climate of violence against media personnel,” it said.
The government spokesman said an initial investigation revealed the the journalist had been tortured. Rene Emmanuel Said said the killing was “barbaric and unacceptable”
Source: BBC
Siku chache kabla ya kifo chake, Mwandishi huyo aliyekuwa Mkosoaji wa Serikali, alikuwa ametishia kufichua Ufisadi Serikalini
Shirika la kutetea haki za Vyombo vya Habari la #ReportersWithoutBorders limetoa wito kwa Mamlaka kufanya Uchunguzi huru kuhusu Mauaji hayo, na kuyaita pigo kubwa kwa #Demokrasia na Uhuru wa Vyombo vya Habari
.................................
Cameroonian journalists have called for more protection following the murder of their colleague Martinez Zogo, who was a critic of the government.
Mr Zogo’s multilated body was found near the capital, Yaoundé, on Sunday, five days after being abducted by unknown people.
Prior to his death, he had threatened to expose corruption in government.
Media rights group Reporters Without Borders called on the authorities to conduct an independent investigation into the killing, calling it a “grave blow to democracy and press freedom”.
“We urge the Cameroonian authorities to conduct an independent investigation that does not falter, and to end the climate of violence against media personnel,” it said.
The government spokesman said an initial investigation revealed the the journalist had been tortured. Rene Emmanuel Said said the killing was “barbaric and unacceptable”
Source: BBC