Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inshort spacio zipo version 2 tu za 1NZ-FE(1.5L) na 1ZZ-FE(1.8L)spacio hakuna ya 1298 cc bali zipo za 1490 na 1790
Hakuna sport car ya engine ndogo hivyo mzee baba! Ukizungumzia Sport Car anzia walau kwenye TWIN TURBO V8's kuna V10 kama Lexus LFA kisha kuna V12's!sport car
RS ni 1.5L mzee baba! Inshort ni engine ya Spacio imefungwa kwenye vits. Power to weight ratio ndio inafanya hio gari ionekane ina performance ila hamna maajabu zaidi!engne 1.3L, High performance, space ya kutosha ndan
inategemea na unapotafuta mkuu, ingawa ni kweli ni ngumu. ila zipo. kwa inayotoka Japan isipitie tu kwa kina SBT na wengineo.
SBT bei zao pasua kichwa...ukitulia hata kuke beforward wana magari mazuri tu kwa bei cheapMkuu kwa nini isipite huko SBT na wengineo???
habari kaka naomba nipe maelezo mawili matatu ya hii gari kwa muda wote uliokaa nayo na bei za vipuri vyake ziko vpGO FOR CAMI my friend, Spacio nzuri sana kwa muonekano but kwa matumizi ya barabara zisizo na lami ni tatizo. hii ni sawa na VITS.
Cami ni gari ngumu sana, ipo juuu, pia spare zipo nyingi tuu. Na nikujuze RUSH ni new model ya CAMI. Cami sikuhizi hakuna ila ndo hizo rush so gharama za rushi zipo juu kidogo. hivyo endapo utashindwa nunua rush nakushauri nunua Cami.
binafsi nina CAMI nazunguka nayo mjini, napiga nayo safari za moshi kama sana na kuzingatia mazingira ya moshi vijijini. CAMI yangu inamiaka 6 sasa na sina mpango wa kuuza
SBT na cheap kuliko beforwardSBT bei zao pasua kichwa...ukitulia hata kuke beforward wana magari mazuri tu kwa bei cheap
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Uelewa wangu: Cami ni gari Nzuri, kwa uimara, na ipo juu kidogo na hivyo kuweza kupita barabara za Vumbi ambazo nyingi zina makorongo; kuna za 4wheel na 2 wheel chaguo ni lako. Kwa watu wa kawaida ni nzuri pia kwa kuwa spare zinapatikana. Kwa ndani sio pana hivyo inaweza kubeba watu wanne walio kaa ila wakijibana au kama ni wembamba) watakaa watanohabari kaka naomba nipe maelezo mawili matatu ya hii gari kwa muda wote uliokaa nayo na bei za vipuri vyake ziko vp