Camouflagers na informers

Mwanajeshi na aje achunguze uraini ngumu sana kaka
sasa alikuwa nani na kwann aliweza kuwathibit hao jamaa huku yuko ndani ya pingu, na kwann hajaonekana mpaka leo toka siku hiyo ? na basi hiyo kaz inawezafanywa na nani mimi nimesema ni mwanajeshi kwasababu ya uwezo wake wakuweza kuwathibit hao jamaa.
 
Mkuu bado anakutfta [emoji16][emoji16]kuwa makin
 
Sas wew utakuwa mdukuzi[emoji28][emoji28][emoji28]hatat kwa usalm wa Taifa
 
Hivi kwanini watu wengi mnapenda sana hii kazi au kuwashwa washwa kuzungumzia mambo yanahusiana na hii kitu
Moja ya kazi nisiyoipenda maana naichukulia kama ni kazi ya utumwa wa wanasiasa na hatarishi isiyokupa uhuru
 
utawasikia.magufuli banaa.
Utawala wake mbovu kweli.
Kumbe wanangoja ufunguke wakuletee pira.
Mimi uwa nakaa kama sipo.mi mwenyewe FBI wa kujitegemea.
Maoni ya kumhusu Magu lazima nitoe but nakuwa cotious na nachoongea maana tatizo ni maoni yenye ukakasi au unayapresent vipi na je unakuwa na ushawishi kwa kundi? Tofauti na hapo sio ishu
 
Kwangu hayo ya moyoni huwa nafunguka Sana tuu sema huwa sina permanent vijiwe na hata movement zangu huwa sipendi watu waninotice even mazoea

Hizo ndio mbinu nazotumia lakini napotoa maoni huwa nachangia mada ambayo na ufahamu nayo na maoni Hasi natoa but navyoyapresent huwa napunguza ukakasi au natumia mbinu ya constructive criticism nikikuta naojadili nao wanatoa maneno makali huwa nawapotezea kwa kuwaambia wapunguze ukali wa maneno ko by so doing nakuwa nimetoa ya moyoni na nimejiweka kwa usalama.

Shida kubwa ni kama una uwezo wa ushawishi afu ukawa na maoni Hasi na watu wanakusikiliza hapo unakuwa on trouble
 
Extrovert huwa blah blah nyingi inahtaji mtu anayejielewa sana ila bongo ni virce versa eti
Extros wengi hawana IQ kubwa wao wanafaa kufanya movies,mziki , kutongoza na kazi za dizaini kama hizo ambazo wanaonyesha hisia zao plus matendo ila za maigizo na kutumia akili na kuzuia hisia hawawezi
 
Shida kubwa ni kama una uwezo wa ushawishi afu ukawa na maoni Hasi na watu wanakusikiliza hapo unakuwa on trouble[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
Huu ni ujinga watu wamekariri ,maono Hasi sio tatizo tatizo ni pale yanapotishia utawala otherwise hakuna shida
 
Sudan, Libya, misri, Algeria nk kote walikuwepo hao lkn kimbunga kilivyopita kiliwabeba wote hao, mwisho wa siku umma uheshimiwe
Kitu cha pressure ya ghafla hawawezi kumudu ni kama kifo kikifika hakuna namna ,tena hii kazi huwa ni ngumu kama viongozi wanafanya mambo ya ajabu ambayo yamewachosha watu, usalama wanahama kwenye reli ya kaxi yao wanaanza kulinda utawala
 
Tuna ombwe kubwa ya kutengeneza hizi bongo movies..halafu kila siku tunarudia makosa yaleyale
Kimsingi hawahitaji kujisumbua Sana maana wanafahamu wanaoweza kugundua mambo haya ni watu wachache saaaana,walio wengi hawawezi ko ujumbe unakuwa umefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…