Camouflagers na informers

Camouflagers na informers

Mwanajeshi na aje achunguze uraini ngumu sana kaka
sasa alikuwa nani na kwann aliweza kuwathibit hao jamaa huku yuko ndani ya pingu, na kwann hajaonekana mpaka leo toka siku hiyo ? na basi hiyo kaz inawezafanywa na nani mimi nimesema ni mwanajeshi kwasababu ya uwezo wake wakuweza kuwathibit hao jamaa.
 
Mie niliwahi kukutana na kamoja kanauza bar moja maarufu mkoa flani hivi bar hiyo ni kubwa na ina wahudumu wengi walembo nikiwa safarini nikamzoea bila kujua halafu nilikuwaga na mishe flani za kibiashara enzi hizo sasa nikawa naenda hapo bar mapema kabla ya mida ya wateja wengi nafika naagiza vinywaji nakunywa halafu niko busy na simu yangu muda wote na wateja wakishakuwa wengi nasepa.
Sasa nahisi aliona utulivu wangu akahisi nina biashara flani haramu au vipi maana siku ya nne tu alianza kunizoea akawa ananihudumia yeye na kilichofanya nimstukie ni miwani yake anayovaa muda wote ni "spy glasses" nikaanza kuhisi huyu ni nyoka alipoanza mazoea nikawa nampa ofer ya kinywaji halafu akiwa karibu yangu najifanya naongea na simu mara kwa mara tena kwa mafumbo hapo ndo nilifanikiwa kumvuta akajilengesha tukapanga nikamle siku moja baada ya muda wa kazi saa sita usiku akanipigia anakuja nilipomuelekeza akaja room nikamla kiroho safi bila yeye kujua kuwa nimeshamstukia usiku akawa anaingiza story za kunichimba kuwa nadeal na biashara gani nikamwambia mie huwa ni mganga wa kienyeji nina wateja wengi na hapo mkoani nilikuja kufanya zindiko kwa mfanyabiashara mmoja maarufu tuliongea mengi ila usiku nilipiga show ya kihuni(natumiaga vumbi la kongo)
Alipochoka sana alisinzia nikasachi mkoba nakutana na vifaa vya kurecord sauti pamoja na hiyo miwani yake ya spy kwa kuwa naijua vizuri nilifanikiwa kuchomoa memory card nikaificha asubuhi hajui kinachoendelea nikala mzigo tukaagana nikamuahidi kurudi pale bar jioni tena kumbe ndo safari nikarudi zangu Dom na line ya simu nikabadiri.
Mkuu bado anakutfta [emoji16][emoji16]kuwa makin
 
,,,kwasababu ndani ya serikali sasa hivi hata mawasiliano, barua nyingine ni za siri,, tunatakiwa tukutane saa fulani, mahali fulani, agenda yetu ni hii na hii. Unakuta labda ma-DAS waandikiana hivyo au ma-DC au mwaziri au makatibu wakuu na ndio maana siri za serikali zinavuja,,
Government goes and paper,,
Saa zingine naingiaga huko yanayoongelewa unabakia unashangaa,,
"Rpc wa hapa yupo wapi,,,?"
Sas wew utakuwa mdukuzi[emoji28][emoji28][emoji28]hatat kwa usalm wa Taifa
 
Hivi kwanini watu wengi mnapenda sana hii kazi au kuwashwa washwa kuzungumzia mambo yanahusiana na hii kitu
Moja ya kazi nisiyoipenda maana naichukulia kama ni kazi ya utumwa wa wanasiasa na hatarishi isiyokupa uhuru
 
utawasikia.magufuli banaa.
Utawala wake mbovu kweli.
Kumbe wanangoja ufunguke wakuletee pira.
Mimi uwa nakaa kama sipo.mi mwenyewe FBI wa kujitegemea.
Maoni ya kumhusu Magu lazima nitoe but nakuwa cotious na nachoongea maana tatizo ni maoni yenye ukakasi au unayapresent vipi na je unakuwa na ushawishi kwa kundi? Tofauti na hapo sio ishu
 
Hahaaaa kweli kabisa wanaanza kuleta za kumchokoa Magufuli ili useme ya moyoni upotee, loh mi nilikuwa sifanyi CHOCHOTE, always nakuwa positive tu, maana niliona wanafatilia watu wanao comments negative mtandaoni wanakamatwa kimya kimya, bora JF fake ID's ndo mana sikuhizi watu hawa comment chochote, maana kupotea ni rahisi sana
Kwangu hayo ya moyoni huwa nafunguka Sana tuu sema huwa sina permanent vijiwe na hata movement zangu huwa sipendi watu waninotice even mazoea

Hizo ndio mbinu nazotumia lakini napotoa maoni huwa nachangia mada ambayo na ufahamu nayo na maoni Hasi natoa but navyoyapresent huwa napunguza ukakasi au natumia mbinu ya constructive criticism nikikuta naojadili nao wanatoa maneno makali huwa nawapotezea kwa kuwaambia wapunguze ukali wa maneno ko by so doing nakuwa nimetoa ya moyoni na nimejiweka kwa usalama.

Shida kubwa ni kama una uwezo wa ushawishi afu ukawa na maoni Hasi na watu wanakusikiliza hapo unakuwa on trouble
 
Extrovert huwa blah blah nyingi inahtaji mtu anayejielewa sana ila bongo ni virce versa eti
Extros wengi hawana IQ kubwa wao wanafaa kufanya movies,mziki , kutongoza na kazi za dizaini kama hizo ambazo wanaonyesha hisia zao plus matendo ila za maigizo na kutumia akili na kuzuia hisia hawawezi
 
Kwangu hayo ya moyoni huwa nafunguka Sana tuu sema huwa sina permanent vijiwe na hata movement zangu huwa sipendi watu waninotice even mazoea

Hizo ndio mbinu nazotumia lakini napotoa maoni huwa nachangia mada ambayo na ufahamu nayo na maoni Hasi natoa but navyoyapresent huwa napunguza ukakasi au natumia mbinu ya constructive criticism nikikuta naojadili nao wanatoa maneno makali huwa nawapotezea kwa kuwaambia wapunguze ukali wa maneno ko by so doing nakuwa nimetoa ya moyoni na nimejiweka kwa usalama.

Shida kubwa ni kama una uwezo wa ushawishi afu ukawa na maoni Hasi na watu wanakusikiliza hapo unakuwa on trouble
Shida kubwa ni kama una uwezo wa ushawishi afu ukawa na maoni Hasi na watu wanakusikiliza hapo unakuwa on trouble[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
Kuna watu hamjitambui kweli na msizungumze kama vi2 hamvijui, eti TISS wanaanzisha mada ya kumsema vibaya magufuli, ukiunga mkono mkono hoja wanakuchukua, labda hiyo TISS ya ccm, majukumu ya TISS ni makubwa sio kama mnavyodhani et kudeal na wanaomtusi rais
Huu ni ujinga watu wamekariri ,maono Hasi sio tatizo tatizo ni pale yanapotishia utawala otherwise hakuna shida
 
Sudan, Libya, misri, Algeria nk kote walikuwepo hao lkn kimbunga kilivyopita kiliwabeba wote hao, mwisho wa siku umma uheshimiwe
Kitu cha pressure ya ghafla hawawezi kumudu ni kama kifo kikifika hakuna namna ,tena hii kazi huwa ni ngumu kama viongozi wanafanya mambo ya ajabu ambayo yamewachosha watu, usalama wanahama kwenye reli ya kaxi yao wanaanza kulinda utawala
 
Tuna ombwe kubwa ya kutengeneza hizi bongo movies..halafu kila siku tunarudia makosa yaleyale
Kimsingi hawahitaji kujisumbua Sana maana wanafahamu wanaoweza kugundua mambo haya ni watu wachache saaaana,walio wengi hawawezi ko ujumbe unakuwa umefika
 
Back
Top Bottom