Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchoma maindi anaonekana ni wale wale...[emoji818]
Alikua anataste capacity ya wanaume kupeleka moto kwa eneo ulilokoUshawah kula malaya usalama yalnkutaa looh
a e i o u
katika hili ile kanuni ya viceversa inaniambia ni wew ndio mlengwa ila hapa umepindisha storiYuko mmoja overseerer wa wauza magenge hapa Nanjilinji alifanya kila linalo wezekana kuunga urafiki na mimi nikawa nimemstukia kiaina mapema sana. Nikamleta karibu ili asipate taabu kufanikisha alichokitaka kwangu. Akawa best rafiki na jamaa yangu. Si kuwa na hofu maana mimi ni raia mwema daraja la juu kabisa(raia mkureshi tuseme hivyo). Mahusiano yetu yakawa ni nipe ni kupe, Kila nikipata habari yenye uzalendo ndani yake naianzishia stori tukiwa naye. Kama jamaa au rafiki kahitilafiana na sheria na yuko mahabusu polisi akihitaji dhamana na mtanguliza yeye mbele dhamana inatoka chapu chapu Siku hizi ni marehrmu RIP nimekosa huduma na company yake. Ila nidhamu yake ilikuwa ya kupigiwa mfano na alikuwa wa msaada kweli.
Huyu jekatika hili ile kanuni ya viceversa inaniambia ni wew ndio mlengwa ila hapa umepindisha stori
Ukweli mchungu..![emoji1752]Sema camouflagers na informers wa bongo ni kama machawa tu wengi hawatumiwi kusaidia maendeleo bali kupeleleza nan anakosoa chama fulan na nani anampinga kiongozi gani, Ila ukiangalia nchi zilizoendelea nyingi wanatumia mabalozi wao 20%kwenye diplomasia alaf 80% wanatumia Kwny ishu za kiujasusi kwa manufaa ya nchi zao kwa njia ya kukusanya data mbalimbali zitakazosaidia kuendeleza nchi zao kweny nyanja zote za Maisha.
Yupo kote huyu
Mmama yupi huyoAiseeeee Kaka Basi hatari... Maigizo Ni mengi..@mshana Jr Yule mmama pale ubungo waweza naye Ni kitengo
sasa si waje wanitafute aiseeUmeshachelewa...hawa huwatafuti bali wao ndio wanakutafuta
kama wanaona unafaa.. unavigezo vyao. huna utabaki hapo haposasa si waje wanitafute aisee
nina 23Una umri gani? Wanaku monitor kuanzia 18
Nasikia wanapenda sana uwe mnigeriaUna umri gani? Wanaku monitor kuanzia 18