Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo wanataka ambao bado hawajabalehe?Umeshabalehe. ..akili imeshakuwa contaminated
basi nimefili na vipi kuhusu usala wa taifa au ndiyo kitu kile kile tunacho kijadili hapaVerification huanzia toka msingi
usilolijua ni kwamba wafanya kazi ote wa balozi yoyote na balozi akiwemo ni usalama wa taifa wa nchi husika.Sema camouflagers na informers wa bongo ni kama machawa tu wengi hawatumiwi kusaidia maendeleo bali kupeleleza nan anakosoa chama fulan na nani anampinga kiongozi gani, Ila ukiangalia nchi zilizoendelea nyingi wanatumia mabalozi wao 20%kwenye diplomasia alaf 80% wanatumia Kwny ishu za kiujasusi kwa manufaa ya nchi zao kwa njia ya kukusanya data mbalimbali zitakazosaidia kuendeleza nchi zao kweny nyanja zote za Maisha.
Dah,hatari sana[emoji23]
[emoji1787][emoji1787]Mshana Mimi naomba uwe rafiki yangu please nikubalie[emoji120][emoji120]
Sawaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56]haya sawa nimekukubalia ..napenda marafiki
Wewe mshana unajua mengi na Mimi napenda Sana kujua nisiyoyajuaSawaaaaaaa
ULE NI MCHONGO.. MPANGO ULIO ANDALIWA.
Sikuhizi hawafanyi kazi wanasubiri mishahara tuu.au na huyo Hamza ni miongoni mwao kaghafirika tuu.
Wamekuwa wa mchongo?Sikuhizi hawafanyi kazi wanasubiri mishahara tuu.au na huyo Hamza ni miongoni mwao kaghafirika tuu.
Wakikuhitaji huchomoki. Omba Mungu huitajiki.Mi ndo mana huwa simwamini mtu hafu wengi huja na mada chokonozi kwenye group kwa malengo yake, nakumbuka nilisoma kisa cha CIA kumpandikiza muislamu mwenye msimamo Mkali kwenye msikiti na yeye ndo aliyekuwa ana plan ugaidi kumbe ni agent wenzake wakaenda kumshitaki nikajua hii dunia nikuwa makini na Ku angalia mambo ya kuongea ukiwa na watu unao wa fahamu na usio waelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo makusudi. Hapo kuna huyo atakaye jipambanua. Akifika mnanyamaza. Halafu ataondoka. Mtaanza kumsema, kumbe kuna mtu mbili zimebaki zinawachimba.Wamemwagwa vijiweni kibao kama nyuki halafu utawakuta wao ndo wanachonga sana dhidi ya serikali, hususan kipindi kile cha maandalizi ya maandamano ya Mange!
Kwenye vijiwe vya wauza magazeti asubuhi na kwenye vijiwe vya shoe shiners wamejaa tele!
Wengine hawako professional kivile kwa sababu matendo yao huacha clue kwa raia
Raia nao hawana maana, wakishamjua tu hupeana taarifa kimyakimya kuwa mtu fulani informer, then kijiweni watu huanza kumchora tu movements zake, na ikishafika hatua hiyo hawezi kupata information za maana za kiintelijensia, labda azipike yeye mwenyewe kufurahisha wakubwa zake!
Ni mpaka yakukute haya mambo ndio unaweza kupata uhalisia wakeWakikuhitaji huchomoki. Omba Mungu huitajiki.
Watakuibia house girl wako. Utahangaika kutafuta, Atajitokeza binti kutoka Iringa Njombe,utaletewa na shoga wa mkeo. Kumbe house girl shushushu.
Uongo tu mzee babaNi mpaka yakukute haya mambo ndio unaweza kupata uhalisia wake