Camouflagers na informers

usilolijua ni kwamba wafanya kazi ote wa balozi yoyote na balozi akiwemo ni usalama wa taifa wa nchi husika.
 
Wewe mshana unajua mengi na Mimi napenda Sana kujua nisiyoyajua
[emoji23][emoji23][emoji1548][emoji1548][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1752]
 
Wakikuhitaji huchomoki. Omba Mungu huitajiki.
Watakuibia house girl wako. Utahangaika kutafuta, Atajitokeza binti kutoka Iringa Njombe,utaletewa na shoga wa mkeo. Kumbe house girl shushushu.
 
Hiyo makusudi. Hapo kuna huyo atakaye jipambanua. Akifika mnanyamaza. Halafu ataondoka. Mtaanza kumsema, kumbe kuna mtu mbili zimebaki zinawachimba.
 
Wakikuhitaji huchomoki. Omba Mungu huitajiki.
Watakuibia house girl wako. Utahangaika kutafuta, Atajitokeza binti kutoka Iringa Njombe,utaletewa na shoga wa mkeo. Kumbe house girl shushushu.
Ni mpaka yakukute haya mambo ndio unaweza kupata uhalisia wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…