Camouflagers na informers

.
 

Attachments

  • 20240218_104953.jpg
    88.1 KB · Views: 22
Camouflage na informers wapo wengi sana...

Haswa wengine utawakuta maeneo ambayo kwa hali ya kawaida mtu hawezi kuthubutu kuweka bishara ya kuuza vipipi na karanga eneo hilo...

Ningeyataja hayo maneno ila wacha niake kimya...


Cc: mahondaw
Taja kidogo tujifunze hii jeiefu
 
Uko sahihi sana watu wengi hata hapa nchini kwetu wamepotea kwasabu ya kutokuwa makini, ni wapi azungumze nini, na wapi asizungumze. Dunia hii ni kuwa defensive all da time.
Wanalisubiri sehem fulan wakuvalishe gunia
 
Umenena
 
Binafsi nilishamwona mbunge wa Ilala maeneo ya Aggrey mara mbili ananunua na kula machungwa kwa machinga mmoja. Yule chinga nae atakuwa mtoa habari
 
Ni yeye 😀
 

Attachments

  • FB_IMG_1714152042720.jpg
    63.3 KB · Views: 25
Tena😳
 

Attachments

  • IMG-20240427-WA0081.jpg
    775.1 KB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…