Camouflagers na informers

Camouflagers na informers

Maswali ya msingi ya kujiuliza ...
1. Utawajuaje?

2. Wapi huchukua hayo mafunzo?

Nikipata majibu ya hayo maswali nitaongeza mengine ..
Nimeuliza maswali haya kwa sababu zifuatazo ...
Ninapoishi kuna ofisa mmoja .. nilimpa habari za uhakika .. akabeza na kuniuliza kuwa nimepataje taaarifa muhimu kama hizo kabla yake .. nilimjibu apige simu kwa yeyote aliyeko kwenye kituo chake cha kazi ili apate uhakika. Kabla hajapiga nilimeongezea habari kuwamuda mfupi gari litapitisha wahusika wakipelekwa panapohusika.
Alipopiga simu aliambiwa kuwa habari ni za kweli ...
Mpaka leo huwa hataki tukae sehemu moja, nikiingia sehemu alipo lazima yeye atoke. Akinikuta sehemu atasalimia na kuondoka tu.
Hisia zangu zinanituma kuwa nahisi mimi ni aina ya hao watu wakati mimi siko kabisa kwenye kazi za ajabu-ajabu kama hizo.
Macho na masikio kwako wewe ulosoma hii chango yangu.
Haya yanajulikana toka enzi za mwalimu
Kwasasa sijui wanapatikanaje kwakuwa tumefanya siasa ndio kila kitu katika maisha yetu ya sasa... Ila enzi za mchonga hawa watu walichujwa tangu wakiwa shule ya msingi.... Kumbuka hakunaga interview kwenye hizi post
Wanaochaguliwa hupitia mchakato mrefu wa msasa na kutengenezwa lakini pia huwa lazima wawe na kitu cha ziada kuliko wengine kama
.Ukimya
. Uchangamfu
. IQ kubwa
. Uvumilivu
Nknk
Hawa huwa hajitangazi wala kutangazwa, j apo kuna ambao huwekwa kujitangaza kwa nia maaalum


Jr[emoji769]
 
Kwasasa sijui wanapatikanaje kwakuwa tumefanya siasa ndio kila kitu katika maisha yetu ya sasa... Ila enzi za mchonga hawa watu walichujwa tangu wakiwa shule ya msingi.... Kumbuka hakunaga interview kwenye hizi post
Wanaochaguliwa hupitia mchakato mrefu wa msasa na kutengenezwa lakini pia huwa lazima wawe na kitu cha ziada kuliko wengine kama
.Ukimya
. Uchangamfu
. IQ kubwa
. Uvumilivu
Nknk
Hawa huwa hajitangazi wala kutangazwa, j apo kuna ambao huwekwa kujitangaza kwa nia maaalum


Jr[emoji769]
Hapo umenena ...
Kuna mtu aliulizwa .. Tutor B yukoje?

Alijibiwa hivi .... Mkimya sana, ila mwongeaji akiamua! Nahisi ndo maana huyu Afisa ananiogopa, Hajui nafanya kazi kazi lakini walionizunguka ni watu wanaofanya kazi za muhimu sana, mahakimu, wanasheria, wanasiasa, wajasiriamali n.k

Mshana Jr, ahsante sana!
 
Maswali ya msingi ya kujiuliza ...
1. Utawajuaje?

2. Wapi huchukua hayo mafunzo?

Nikipata majibu ya hayo maswali nitaongeza mengine ..
Nimeuliza maswali haya kwa sababu zifuatazo ...
Ninapoishi kuna ofisa mmoja .. nilimpa habari za uhakika .. akabeza na kuniuliza kuwa nimepataje taaarifa muhimu kama hizo kabla yake .. nilimjibu apige simu kwa yeyote aliyeko kwenye kituo chake cha kazi ili apate uhakika. Kabla hajapiga nilimeongezea habari kuwamuda mfupi gari litapitisha wahusika wakipelekwa panapohusika.
Alipopiga simu aliambiwa kuwa habari ni za kweli ...
Mpaka leo huwa hataki tukae sehemu moja, nikiingia sehemu alipo lazima yeye atoke. Akinikuta sehemu atasalimia na kuondoka tu.
Hisia zangu zinanituma kuwa nahisi mimi ni aina ya hao watu wakati mimi siko kabisa kwenye kazi za ajabu-ajabu kama hizo.
Macho na masikio kwako wewe ulosoma hii chango yangu.
Wewe ulijuaje hizo taarifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliona kesi ya Lugola ilivyofutwa?
Kesi ya Mtoto wa Malima ilivyofutwa?
Kesi ya Manji ilivyofutwa?

Wakikuhitaji ufanye kazi fulani ( siyo lazima iwe ya kitengo) wana uwezo wa kukutoa hata jela ukasafishwa ilimradi tu ufanye kazi wanayodhani wewe tu ndo mtu sahihi!
 
Mkuu naomba unipe tips kwa uchache Japo A.B.C....za kuwatambua hawa watu nina ndugu yangu mnoko mnoko kweli simuelewagi kabisa...yeye anashinda kwenye betting na casino tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu sana
Unaweza hata kumkuta akijifanya chizi maarifa
Muuza urembo
Mwalimu
Fundi nknk kulingana na nature ya kazi...

Jr[emoji769]
 
Umenisema mie yaani na huu mdomo wangu siku izi nimeamua kuwa mpole...
nimeshaisaidia polisi bila kupenda mpk ikafikia hatua akiletwa afisa usalama mpya natambulishwa huyu atakusaidia sana
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom