Camouflagers na informers

Camouflagers na informers

Mie niliwahi kukutana na kamoja kanauza bar moja maarufu mkoa flani hivi bar hiyo ni kubwa na ina wahudumu wengi walembo nikiwa safarini nikamzoea bila kujua halafu nilikuwaga na mishe flani za kibiashara enzi hizo sasa nikawa naenda hapo bar mapema kabla ya mida ya wateja wengi nafika naagiza vinywaji nakunywa halafu niko busy na simu yangu muda wote na wateja wakishakuwa wengi nasepa.
Sasa nahisi aliona utulivu wangu akahisi nina biashara flani haramu au vipi maana siku ya nne tu alianza kunizoea akawa ananihudumia yeye na kilichofanya nimstukie ni miwani yake anayovaa muda wote ni "spy glasses" nikaanza kuhisi huyu ni nyoka alipoanza mazoea nikawa nampa ofer ya kinywaji halafu akiwa karibu yangu najifanya naongea na simu mara kwa mara tena kwa mafumbo hapo ndo nilifanikiwa kumvuta akajilengesha tukapanga nikamle siku moja baada ya muda wa kazi saa sita usiku akanipigia anakuja nilipomuelekeza akaja room nikamla kiroho safi bila yeye kujua kuwa nimeshamstukia usiku akawa anaingiza story za kunichimba kuwa nadeal na biashara gani nikamwambia mie huwa ni mganga wa kienyeji nina wateja wengi na hapo mkoani nilikuja kufanya zindiko kwa mfanyabiashara mmoja maarufu tuliongea mengi ila usiku nilipiga show ya kihuni(natumiaga vumbi la kongo)
Alipochoka sana alisinzia nikasachi mkoba nakutana na vifaa vya kurecord sauti pamoja na hiyo miwani yake ya spy kwa kuwa naijua vizuri nilifanikiwa kuchomoa memory card nikaificha asubuhi hajui kinachoendelea nikala mzigo tukaagana nikamuahidi kurudi pale bar jioni tena kumbe ndo safari nikarudi zangu Dom na line ya simu nikabadiri.

[emoji23][emoji23] alichokutana nacho hakiamini kabisa
 
Kunaa jamaa angu kipindi Cha shule secondary alikuwa infomer wa headmaster,afuu mchizi msela Sanaa na wakujichanganya kinoma,tukipiga tukio na yeye yumo Ila tunashangaa information zinafika kwa mkuu vile vile tulivyo panga au kuongea,tukawa tunaisi labda headmaster machawii....siku mojaa alikuwa anatoa information kumbe Kuna ndugu alimsikia akaja kututonya
 
Kunaa jamaa angu kipindi Cha shule secondary alikuwa infomer wa headmaster,afuu mchizi msela Sanaa na wakujichanganya kinoma,tukipiga tukio na yeye yumo Ila tunashangaa information zinafika kwa mkuu vile vile tulivyo panga au kuongea,tukawa tunaisi labda headmaster machawii....siku mojaa alikuwa anatoa information kumbe Kuna ndugu alimsikia akaja kututonya
Wanaanziaga mbali hawa wadudu
 
Kunaa jamaa angu kipindi Cha shule secondary alikuwa infomer wa headmaster,afuu mchizi msela Sanaa na wakujichanganya kinoma,tukipiga tukio na yeye yumo Ila tunashangaa information zinafika kwa mkuu vile vile tulivyo panga au kuongea,tukawa tunaisi labda headmaster machawii....siku mojaa alikuwa anatoa information kumbe Kuna ndugu alimsikia akaja kututonya
Huyo ndio infoma sasa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mie niliwahi kukutana na kamoja kanauza bar moja maarufu mkoa flani hivi bar hiyo ni kubwa na ina wahudumu wengi walembo nikiwa safarini nikamzoea bila kujua halafu nilikuwaga na mishe flani za kibiashara enzi hizo sasa nikawa naenda hapo bar mapema kabla ya mida ya wateja wengi nafika naagiza vinywaji nakunywa halafu niko busy na simu yangu muda wote na wateja wakishakuwa wengi nasepa.
Sasa nahisi aliona utulivu wangu akahisi nina biashara flani haramu au vipi maana siku ya nne tu alianza kunizoea akawa ananihudumia yeye na kilichofanya nimstukie ni miwani yake anayovaa muda wote ni "spy glasses" nikaanza kuhisi huyu ni nyoka alipoanza mazoea nikawa nampa ofer ya kinywaji halafu akiwa karibu yangu najifanya naongea na simu mara kwa mara tena kwa mafumbo hapo ndo nilifanikiwa kumvuta akajilengesha tukapanga nikamle siku moja baada ya muda wa kazi saa sita usiku akanipigia anakuja nilipomuelekeza akaja room nikamla kiroho safi bila yeye kujua kuwa nimeshamstukia usiku akawa anaingiza story za kunichimba kuwa nadeal na biashara gani nikamwambia mie huwa ni mganga wa kienyeji nina wateja wengi na hapo mkoani nilikuja kufanya zindiko kwa mfanyabiashara mmoja maarufu tuliongea mengi ila usiku nilipiga show ya kihuni(natumiaga vumbi la kongo)
Alipochoka sana alisinzia nikasachi mkoba nakutana na vifaa vya kurecord sauti pamoja na hiyo miwani yake ya spy kwa kuwa naijua vizuri nilifanikiwa kuchomoa memory card nikaificha asubuhi hajui kinachoendelea nikala mzigo tukaagana nikamuahidi kurudi pale bar jioni tena kumbe ndo safari nikarudi zangu Dom na line ya simu nikabadiri.
Bro punguza tango pori jamani
 
mimi nilishuhudia kuna jamaa ALIKUWA ni bodaboda ananichukuaga home ananipeleka kazini na kunirudsha pia, ...kuna siku alitukanana na demu mmoja ivi ambaye alimtongoza mara kwa mara afu demu anachomoa, jamaa alimtukana sana na demu pia alimtukana hadi hatua ya kutaka kupigana lakin watu waliokoa hilo, sasa ikafika mida ya sa kumi na moja jion mana waligombana mchana, yule demu akaja na kikosi Cha watu, afu akakaa pembeni , wale jamaa waliokuja na Demu wakaenda kwa yule mshikaji bodaboda wakamshika wakasema wao ni police na wanataka wampeleke kutuoni jamaa aliomba kuoneshwa kitambulisho ili kuamini ni police lakini walimtia pingu na kumpeleka kwenye gari yao aina ya Alphad , wakaingia humo ndani baada ya mda kama dk5 Tukaanza kusikia makelele ndani ya gar watu wakafika milango ikafunguliwa na waliokuwamo ndani, .... ase wale jamaa walitoka wameiva wamechapwa balaaa kumbe jamaa alikuwa ni mwanajeshi siku zote hizo hakuna aliekuwa anajua, ...walipomfungulia pingu jamaa akawapakia kwenye hilo gari lao na kumbeba na demu.... sijawah kumuona huyo jamaa mpaka leo ase ...

hivyo naamini katika post yako
 
Back
Top Bottom