Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Hata mme wa mtu mchungu bana
Mchungu lakini siyo sumu eeh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mme wa mtu mchungu bana
Kwahiyo unataka kuniambia kuwa mwanamke akimkamata mume wake akicheat akamsamehe huyo sio mwanamke kamili????? Au mkeo akikukamata unacheat na akakusamehe mkeo sio mwanamke kamili si ndio????
Halafu hivi kwa nini mtu u cheat wakati ukijua fika kuwa hilo kwa mwenzio ni kosa? Halafu baada ya kucheat unataka usamehewe? Kwa nini?
Kuna mkasa umetokea mtaani kwetu mwanaume kazimia mpaka hivi sasa sijui akiamka kutoka kwenye Coma sipati picha
I wish haya mambo ya Infii yasingekuwepo kwa nini kutesana hivi
With all sincerity i doubt if any man can...![]()
Its only illegal if u get caught.....
:hail:Halafu hivi kwa nini mtu u cheat wakati ukijua fika kuwa hilo kwa mwenzio ni kosa? Halafu baada ya kucheat unataka usamehewe? Kwa nini?
Kuna mkasa umetokea mtaani kwetu mwanaume kazimia mpaka hivi sasa sijui akiamka kutoka kwenye Coma sipati picha
I wish haya mambo ya Infii yasingekuwepo kwa nini kutesana hivi
With all sincerity i doubt if any man can...![]()
But cheating is not illegal....
honestly,.i find this like just mtu anavoua familia ya mwenzake wakati ana yake..if u cheat afu useme ni ok koz you are a guy then ni ule usemi wa chako chetu,changu changu..so selfish!nakumbuka thread ya watoto wa israel,ppl sympathised sana,.but kuua daznt only mean kuchukua risasi na kumpiga mtu,.kumuumiza tu ur yf back at home koz of infidelity ni silaha tosha,kusononeka kwake ni a curse kwely,if you have lived in a family that had domestic violence unajua,.nobody is perfect but if you make your imperfectness as part of your life then its a disease,.if the guy wasnt cheating then Mungu amsaidie apone and try to live for today,.if he was,then its sad koz he faced his fair play vibaya,na Mungu pia amsadie ili akiinuka atajua how bad it feels to be cheated!
Kuna wengine wanaweza kufauta ule mstari wa kusamehe saba mara sabini......wanasamehe na maisha yanaendelea....ila ni adimu sana watu wa aina hii...
Ila infii kwa mke, ney!
bt is....But cheating is not illegal....
Mchungu lakini siyo sumu eeh!!!
wewe je ukifumaniwa