Can anyone guess who's the next Tanzania's President?

Can anyone guess who's the next Tanzania's President?

Ni sahihi kabisa , akikosa basi awe Wiliam Lukuvi
Dah! Hivi Hussein Mwinyi yupo nchi hii? Badala ya kumsikia waziri husika anayesikaka sana na Mkuu wa Majeshi. Mungu awe naye Mh Hussein mwinyi.
 
Nathani kati ya William lukuvi na majaliwa mmoja wao lazima awe rais wa jmt
 
Ana vyeti?
jafo huyuhyu?

Nani kasema vyeti ndio yard stick ya kupima uwezo wa kuongoza, ubunifu na uwajibikaji - tuna mifano tosha ahi ya kuonyesha kwamba watu wengi wana imani potofu kwamba kiongozi akiwa na utitiri wa shahada,basi, huyo ni kiongozi balabala - wakati hiyo si kweli hata kidogo.

Viongozi wengi mashuhuri Duniani wala hawakuwa na Elimu ya juu, mfano: Paul Kagame, Winston Churchill, John Major( elimu ya sekondari), Mao Tse Tung ( Librarian), Deng Tshao Ping( kada wa siasa), Jacob Zuma(Sekonary au shule ya msingi),Kenneth Kaunda (Mwalimu shule ya msingi), Samora Machiel(Muuguzi) etc. lakini viongozi wote tajwa hapo juu waliendeleza sana Nchi zao.
 
Nani kasema vyeti ndio yard stick ya kupima uwezo wa kuongoza, ubunifu na uwajibikaji - tuna mifano tosha ahi ya kuonyesha kwamba watu wengi wana imani potofu kwamba kiongozi akiwa na utitiri wa shahada,basi, huyo ni kiongozi balabala - wakati hiyo si kweli hata kidogo.

Viongozi wengi mashuhuri Duniani wala hawakuwa na Elimu ya juu, mfano: Paul Kagame, Winston Churchill, John Major( elimu ya sekondari), Mao Tse Tung ( Librarian), Deng Tshao Ping( kada wa siasa), Jacob Zuma(Sekonary au shule ya msingi),Kenneth Kaunda (Mwalimu shule ya msingi), Samora Machiel(Muuguzi) etc. lakini viongozi wote tajwa hapo juu waliendeleza sana Nchi zao.

hatuelewani ndugu, issue ni kuw ahana vyeti kwahiyo kwenye uchaguzi hawezi toboa mapingamizi atakayo wekewa.
 
Among the hardest things is to guess who will likely become the president after Magufuli 10 years tenure.
However the following are vital points to be fathomed.
1. He must be a Muslim
2. Not the current prime Minister - CCM will never allow someone to be prime minister for 10 years and then give you another 10 years as president. No one will be handled with 20 years of power.
3. No chance for Makonda, Lukuvi ( all prominent Christian politicians).
4. Mwinyi's son is standing on a chance if he choose not to contest for Zanzibar presidency. (He is acceptable to both Tanganyikans and Zanzibaris.
5. Mama SAMIA is not interested on becoming the President. Count her out.
6. January Makamba is still on the picture with slim chance to win within CCM.
7. In Tanzanian political arena anyone can become President [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Among the hardest things is to guess who will likely become the president after Magufuli 10 years tenure.
However the following are vital points to be fathomed.
1. He must be a Muslim
2. Not the current prime Minister - CCM will never allow someone to be prime minister for 10 years and then give you another 10 years as president. No one will be handled with 20 years of power.
3. No chance for Makonda, Lukuvi ( all prominent Christian politicians).
4. Mwinyi's son is standing on a chance if he choose not to contest for Zanzibar presidency. (He is acceptable to both Tanganyikans and Zanzibaris.
5. Mama SAMIA is not interested on becoming the President. Count her out.
6. January Makamba is still on the picture with slim chance to win within CCM.
7. In Tanzanian political arena anyone can become President [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
LE-MUTUZ ana sifa zote ulizotaja.
 
Nitabilivyo mimi, rais ajaye atatoka sisiemu na kwa sasa sio miongoni mwa watu walio ktk habari za kila siku.
Kwa sasa sio waziri kamilli.
 
Back
Top Bottom