mwl frank
R I P
- Jul 11, 2011
- 78
- 27
Siku za karibuni kumejitekeza tatizo la kuvaa miwani kwa watoto wenye umri chini ya miaka 15 hasa walio shuleni,nini chanzo chake hasa na ni kipi cha Kufanya ili kutopata taabu hii?
Wataalamu okoeni kizazi hiki.
=============================
Wataalamu okoeni kizazi hiki.
=============================
Habar zenu wakuu,
Nina sumbuliwa na uono hafifu ni mwaka wa saba sasa huu navaa mawani yenye lense ya minus 5 na
sioni mabadiliko yoyote ya kuboreka kwa uono wangu.
Ni njia gani nitumie kuweza kuboresha uono wangu na vitu gani ni epukane navyo ili kuzui tatizo kuwa kubwa.