Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
niko tayari shemeji!na nimeshajipanga!lakini hili swala la mabaamedi tuliache kama ACCELLERESHENI DIU TU GRAVITY=9.7979m/ss
Au unai approximate kuwa 10 kabisa ili kuondoa usumbufu wa kubofyabofya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niko tayari shemeji!na nimeshajipanga!lakini hili swala la mabaamedi tuliache kama ACCELLERESHENI DIU TU GRAVITY=9.7979m/ss
INATEGEMEA SASA,na hiyo pendolum bob mlikuwa mnaiswing mkiwa wapi.ukiwa KANTALAMBA HAI SKOOL unaweza pata hata 2m/ss.washikaji walipata 0m/ss.kule watu wachawi sana lol!leo vipi kinondoni naweza kuwaona?i need to see you guys,mambo yamenifika shingoniAu unai approximate kuwa 10 kabisa ili kuondoa usumbufu wa kubofyabofya!
niko tayari shemeji!na nimeshajipanga!lakini hili swala la mabaamedi tuliache kama ACCELLERESHENI DIU TU GRAVITY=9.7979m/ss
Hujamuelewa Geoff ,yeye hataki za majaribio.Anataka za ugenini/kirafiki na hizi ndio hatari sana.Itakuwa kma timu ya Taifa ilivoenda Misri na Yemen na kuchabangwa.Aibu kweli.Mechi za majaribio muhimu mchumba. Zinakupa ufanisi kwenye mechi za ligi kuu.
will take over as who?
INATEGEMEA SASA,na hiyo pendolum bob mlikuwa mnaiswing mkiwa wapi.ukiwa KANTALAMBA HAI SKOOL unaweza pata hata 2m/ss.washikaji walipata 0m/ss.kule watu wachawi sana lol!leo vipi kinondoni naweza kuwaona?i need to see you guys,mambo yamenifika shingoni
Hujamuelewa Geoff ,yeye hataki za majaribio.Anataka za ugenini/kirafiki na hizi ndio hatari sana.Itakuwa kma timu ya Taifa ilivoenda Misri na Yemen na kuchabangwa.Aibu kweli.
Hujamuelewa Geoff ,yeye hataki za majaribio.Anataka za ugenini/kirafiki na hizi ndio hatari sana.Itakuwa kma timu ya Taifa ilivoenda Misri na Yemen na kuchabangwa.Aibu kweli.
ZD leo.......naona una advice kweli kweli
nilitaka kuja dadaako akaleta zengwe!eliza yupo fresh?safari hii nimeandaa na bajeti ya hela ya nyumba ya kulala wageni😀Ukiifanyia kule mlimani kwa nguli itasoma 22m/ss! hahaha! Kinondoni jana ilikuwa balaa. Tukutuku lilisepa na sight mirror ya hiace! Get tugedha this week lazima.
ZD mi naona tuifanye TAWLA ya JEIEFU ntakuwa kompitent zaidi hapo...i will chair hiyo haina shida.....feza we shikilia tu haina neno tutaenda sawaNi ule mpango wetu umesahau?, (TAMWA yetu ya JEIEFU).Si tumepanga tuanze kampeni za maadili?. Tena wewe ndo mwenyekiti na mimi mweka hazina.Yani HATUDANGANYIKI! hehehehehe!
ZD mi naona tuifanye TAWLA ya JEIEFU ntakuwa kompitent zaidi hapo...i will chair hiyo haina shida.....feza we shikilia tu haina neno tutaenda sawa
Usijali,sie huwa tunafanikiwa kwa vile tuna umoja.Itabidi tuandae geti tugeza ya kupanga taratibu.wapwa hawaruhusiwi kuja.
Usijali,sie huwa tunafanikiwa kwa vile tuna umoja.Itabidi tuandae geti tugeza ya kupanga taratibu.wapwa hawaruhusiwi kuja.
nilitaka kuja dadaako akaleta zengwe!eliza yupo fresh?safari hii nimeandaa na bajeti ya hela ya nyumba ya kulala wageni😀
Invizibo nitakuja bila ya nyie kujua!
Sasa vile vyombo na kabinti utamwachia nani? ohooo!unataka kulikoroga.
Ntawahi kuosha vyombo afu kabinti nakaweka mgongoni afu natia timu.
Poor Xpin, endelea kujiovadozi hivo hivo....u r too naughty u deserve that!!
tukiona mtu kabeba mtoto tunajua ni wewe