Can this end justfy the means?!

Can this end justfy the means?!

Geof umeokoka?
HAHAHAHA!wapi bwana!halafu nimekutafuta sana nikupe deal la suti NIMESHINDWA KUPATA NAMBA ZAKO!wapwa nimewaomba namba public hawakunipa
 
kwa hiyo wake zetu hawaibi!????!RUKSA TU KUFANYA LOLOTE NA HELA ZETU?

You can say that again. Kama mimi nikiishiwa naingia kwa kibeti cha wife najichukulia mkwanja huyooo nasepa zangu kaunta. Mama wala hasemi kitu, si nimechukua mali zangu bana! Sijamwibia.
 
inaonekana kama sio kosa!
pia hata wake zetu wakitusachi pia SIO KOSA!
tunaokoelekea watakuja kutushika sharubu hawa.....halafu litakuwa SIO KOSA😀

Hahaha! Hapo kwenye sharabu hapo! Inategemea kazishikaje, una mood gani na ni wakati gani. Hahaha! Nimekugongea senksi kwa ajili ya hiyo bold tu lakini.
 
Hahaha! Hapo kwenye sharabu hapo! Inategemea kazishikaje, una mood gani na ni wakati gani. Hahaha! Nimekugongea senksi kwa ajili ya hiyo bold tu lakini.
haya bwana!
 
Huyu Mwanamke ni mwenyebusara sana..Really i appreciate to what she did, otherwise hali ya family ingekuwa mbaya ajabu!
Woote mmeongea sana matukio ya kwanza, lakini hili tukio la mwishoni la Mama kuchukua pango la nyumba yake, ndo linaniacha hoi!
Alikuwa akipeleka wapi hizi hela (600,000/=pm)? au ndo hizo walikuwa wakila?
By the way, hali hii ni kawaida sana katika majumba yetu...Mama unampa hela za bajeti ya msosi, yeye anatumia nusu, na zingine anacheza kibati, ambapo unakuta in one way or another mnaweza mkafaidi wote hizo hela za kibati tena...!
Hii ni complex situation, ambayo inamtegemea sana mtendewa anatafsiri vipi haya mambo...Vinginevyo mtu mwingine anakuondoa, hata kama umejenga bangaloo gani, bora lawama kuliko fedheha!
 
hahaaaa mama mia!!!! poor Eliza and the rest!!! lakini sasa Goef ndo watamng'ang'ania....atakua na mvuto

Mpwa fidel bado anapiga jaramba. Ataokoa jahazi.
 
fidel sema anavaa shati la mikono mifupi sana, mwambie siku moja moja apige long sleeve basi!!!

Hahaha! Papaa fidel mutu ya pesa mingi. Akiwa na ndovu kadhaa kichwani nini long sleeve shirt. Anapiga long sleeve suit kabisa
 
mabaamedi kuwaacha itakuwa ngumu mpwa
Hahaha! Get tugedha ya wikiendi hii itabidi tukaimalizie na ile kazi yetu Zero pub! Mpwa Kaizer yuko veri kooperativu. LOL!
 
Basi hujawa tayari ,naona tuahirishe tu ujipange upya
niko tayari shemeji!na nimeshajipanga!lakini hili swala la mabaamedi tuliache kama ACCELLERESHENI DIU TU GRAVITY=9.7979m/ss
 
Back
Top Bottom