Can this end justfy the means?!

Can this end justfy the means?!

Ndo maana tunasema kwa nn mama asitumie njia sahihi?
Yawezekana kuna libaba lingine lilikuwa linachangia ujenzi.


hilo halikuhusu,as long as hukuwa makini na familia yako, kaa tulia tule ugali wa matembere na sukuma wiki...kama ikiwa hivyo ndio utahama?......wewe tulia wewe.
 
SO,you can conclude kwamba the woman HAS SACRIFICED HERSELF TO DEVIL FOR THE FAMILY'S SAKE!.....am i right?

In criminal law, theft (also known as stealing or filching) is the illegal taking of another person's property without that person's freely-given consent. ...

So she wasnot stealing rather taking as they are one.

Kwenye red. If that mama was taking that money for bad intention it would sound so but swali la kizushi the soldier yeye alijisacrife kwa nani?
 
umekula senksi karibu kila post zako zote!.....

kuwa mwili mmoja ni kigezo pekee cha kufanya mambo kimya kimya??????!

huyu mama aligundua tatizo kwa mumewe!kwanini hakutaka kuwashirikisha watu?aidha wazazi,walezi,viongozi wa dini n.k..au hata waajiri wake!

kwanini alichukua ushauri wa mashangingi wa saluni?


hii dunia ya leo ni ya kushirikishana au kuchorana?....mama kafanya jambo jema sana.
 
In criminal law, theft (also known as stealing or filching) is the illegal taking of another person's property without that person's freely-given consent. ...

So she wasnot stealing rather taking as they are one.

Kwenye red. If that mama was taking that money for bad intention it would sound so but swali la kizushi the soldier yeye alijisacrife kwa nani?

Mpwa hiyo bold imekuzawadia senksi toka kwangu! Just like that!
 
you are getting the point now!....
So she confessed she was searching someone else rather than her husband? In such a case, she MUST confess. Lakini kama alimsachi mme wake? NO WAY!
 
In criminal law, theft (also known as stealing or filching) is the illegal taking of another person's property without that person's freely-given consent. ...
this is what the woman did!

So she wasnot stealing rather taking as they are one.
they are one?!!! in marriage point of view.mahakamani hakuna hili swala

Kwenye red. If that mama was taking that money for bad intention it would sound so but swali la kizushi the soldier yeye alijisacrife kwa nani?
wizi ni wizi to!hata ukiiba mamilioni ukayapeleka kanisani ni wizi tu!hata ukiiba ma bilioni ukawasaidia watoto yatima ni wizi tu....
NDO MAANA ALIKONFESS
 
lakini yeye alikiri kwamba alikuwa anamuibia wakati amelewa!.....

Lets get straight to the point. Huyu mama alikuwa anamsearch mtu mwingine au mme wake wa ndoa? No woman can steal from her husband. They are the same body and soul for God's sake!
 
hilo halikuhusu,as long as hukuwa makini na familia yako, kaa tulia tule ugali wa matembere na sukuma wiki...kama ikiwa hivyo ndio utahama?......wewe tulia wewe.

Sasa ndo hapo tunapo kuja kuweka bayana mama alikuwa anatenda dhambi
 
Safi sana mama,Yani akili sio lazima uende shule uwe na ma-PHD.Huu ni mfano mzuri wa kuigwa.Nafikiria nianze kuapply maana hizi location za Counter zimezidi.
 
lakini yeye alikiri kwamba alikuwa anamuibia wakati amelewa!.....

Hii ilikuwa gia ya kupunguza ukali je angeongezea kuwa kuna Libaba lipo serikalini nalo limechangia unafikiri pangekuwaje hapo?
 
Sijawahi kuona mke anamwibia mumewe! Ni sawa na kuhamisha hela mfuko wa kushoto kwenda wa kulia! Thats It! Mama alikuwa anachukua hela ZAKE! Kipato cha mme ni mali ya mke if yo knoo woram saying. Mi wife huwa anapekuaga wallet langu na kujisevia atakavyo ili mradi anibakishie za kutosha serengeti kadhaa na ndovu/taska kwa wapwa zangu. So long zinaenda kwenye matumizi SAHIHI, sioni kama kuna tatizo lolote!
unaongea mapoint ki****leo! nitafute kwa banta 2 badae
 
they are one?!!! in marriage point of view.mahakamani hakuna hili swala(Geof)

Marriage is a social, religious, spiritual and/or legal union of individuals that creates kinship. This union may also be called matrimony
au
A status that, among other things, entitles a couple to file a joint income tax return. For the purpose of joint returns

wizi ni wizi to!hata ukiiba mamilioni ukayapeleka kanisani ni wizi tu!hata ukiiba ma bilioni ukawasaidia watoto yatima ni wizi tu....(Geof)


Ukichukua kifaa chochote nyumbani kwenu bila ruhusa then later on uka wa inform kwa nini ulichukua ulikifanyia nini na kwa manufaa ya nani je huo ni wizi?
 
Lets get straight to the point. Huyu mama alikuwa anamsearch mtu mwingine au mme wake wa ndoa? No woman can steal from her husband. They are the same body and soul for God's sake!
give me the evidences of the bolded and coloured part!.......
 
Ndo maana tunasema kwa nn mama asitumie njia sahihi?
Yawezekana kuna libaba lingine lilikuwa linachangia ujenzi.
hata kama limechangia so what? si kuna nyumba huyo baba kaepushwa kurudi nachingwea sijui kuzeeka na maisha ya kijini ambayo hajayazoea?
 
unaongea mapoint ki****leo! nitafute kwa banta 2 badae

Hahaha! Hapo naongeza jero nakula serengeti! Ntakuwa mgeni wako leo, kama ulikuwa unatania imekula kwako mpwa.
 
they are one?!!! in marriage point of view.mahakamani hakuna hili swala(Geof)

Marriage is a social, religious, spiritual and/or legal union of individuals that creates kinship. This union may also be called matrimony
au
A status that, among other things, entitles a couple to file a joint income tax return. For the purpose of joint returns

wizi ni wizi to!hata ukiiba mamilioni ukayapeleka kanisani ni wizi tu!hata ukiiba ma bilioni ukawasaidia watoto yatima ni wizi tu....(Geof)


Ukichukua kifaa chochote nyumbani kwenu bila ruhusa then later on uka wa inform kwa nini ulichukua ulikifanyia nini na kwa manufaa ya nani je huo ni wizi?
nipe msimamo wako nguli!.....wizi ni nini?
je,mkeo hawezi kukuibia?
 
hata kama limechangia so what? si kuna nyumba huyo baba kaepushwa kurudi nachingwea sijui kuzeeka na maisha ya kijini ambayo hajayazoea?


halafu halihusu kwa wakati huu, hata akimwambia kuwa kuna aliechangia hilo libaba ndio litaenda nachingwea ama?.....na kwanini anihic hivyo wakati zake mie nina uhakika alikuwa anazimaliza na vimada bar na bado nipo nae kama mume wangu na nimefanya maendeleo kwa kutumia akili yangu, yeye ana uhakika kama nilisadiwa?
 
Back
Top Bottom