Can this end justfy the means?!

HAHAHAHA!wapi bwana!halafu nimekutafuta sana nikupe deal la suti NIMESHINDWA KUPATA NAMBA ZAKO!wapwa nimewaomba namba public hawakunipa
Utapewaje namba zangu pkwenye public? asanteni sana wapwa na mabinamu, naona mnaheshimu privacy< tukikutana bill zote za banta na maji makuuubwa ya kilimanjaro yangu!
 
Na ndio maana kule kumwambia ukweli kile alichokifanya ilikuwa ni njia moja wapo ya kutubu dhambi yake. hivyo nafkiri kuanzia hapo walifungua ukurasa mpya wa mmaisha yao maana mume alipata somo na sidhani kama aliendelea na ulevi wake tena na pengine sasa alinza hata kwenda kanisani au msikitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…