Can this stop please! Tunadhalilika mitandaoni kwa kuitwa vilaza, broken English, tunajipendekeza

Can this stop please! Tunadhalilika mitandaoni kwa kuitwa vilaza, broken English, tunajipendekeza

mimikaye

Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
88
Reaction score
48
Dah! Nimeingia social media, Wanigeria wanatutusi sana na kutuita kila jina kisa Diamond. Kwanza wanasema tunajipendekeza sana kwao.

Mfano mzuri Mondi, coz kila collabo lazima akafanye na Wanigeria, aibu hizi... Yaani tumejiwekea kwamba hatuwezi toka mpaka tushirikishe Wanigeria... Nao wanatutusi, kwamba hatujui lugha ya Kiingereza, sijui wa mwisho kwa kila kitu, wanatutukana tunavyoshoboka kwenye social media pages za Davido.

Jamani, let's stop this nonsense, kama mtu hataki ku vote kwa Mondi, basi bora mtu asi vote kabisa.

attachment.php
 
Sasa wapopo ndio wanajua Kiingereza? Watawaonea hao hao kina Wema Sepetu kwenye facebook.
 
Kuna muda huwa najuta kuzaliwa Mtanzania.Wakati wengine wakihangaika ku-proud nchi yao sisi huku tunabomoa kisa #Teams .

Hivi ninyi #TeamKiba mkimpa kura Davido na Mr Flavour itawasaidia nini? Si bora mumpe Mtanzania ili aweze kuipa sifa nchi yetu.Kubali kuwa mtu wenu sio level za kimataifa,yeye ni level za TZ tena Dar maana nje ya mipaka ya Dar hakuna kitu maana Diamond katawala.

Tuache ujinga,tumpe kura mond,mwakani inaweza kuwa zamu ya Kiba naye tutampa kura.

Tutaendelea kujidhalilisha hivi mpaka lini?
 
Sasa mie nimejua wapopo ni mijusi kumbe mji...... mmoja sijui hata kala maharage ya wapi ndiyo kapost.
Wewe kama watz wanakuudhi kale malimao.
 
I don't waisting my time you know, that diamond is not fair for leaving us woman ooh women of Tanzania and sleeping with that of uganda our souls are hurting....
ha ha ha hivo hivo tu tunaeleweka
vote for diamond platnum

duuh ha ha ha ha!
 
I don't waisting my time you know, that diamond is not fair for leaving us woman ooh women of Tanzania and sleeping with that of uganda our souls are hurting....
ha ha ha hivo hivo tu tunaeleweka
vote for diamond platnum

Hahaha nilikumisigi we Dada na vituko vyako, wacha na mie nihondomole kiingilishi hivyohivyo😁
 
Hahaha nilikumisigi we Dada na vituko vyako, wacha na mie nihondomole kiingilishi hivyohivyo
I telling you things will cotton fire until diamond he apologies for us woman of Tanzania and left that international women zarinah the bosslady
 
I don't waisting my time you know, that diamond is not fair for leaving us woman ooh women of Tanzania and sleeping with that of uganda our souls are hurting....
ha ha ha hivo hivo tu tunaeleweka
vote for diamond platnum

Ima voitng forr davido noit doamnd, he mouth big like mbuz you nkwe warumi said, biur
 
I'm noit voiting going diamond, im a voiting davido , Evelyn Salt pluesse came andd voit foir davido youu kwno? Warumi says voit for davido
Am don't voting for david may be until he do colabo with Tanzania sweetheart that honorable of seengida
also I don't vote for chibu because he is sleeping with international woman and leaving us Tanzanians
 
Am don't voting for david may be until he do colabo with Tanzania sweetheart that honorable of seengida
also I don't vote for chibu because he is sleeping with international woman and leaving us Tanzanians


abegooooooooo obooooo
 
I don't waisting my time you know, that diamond is not fair for leaving us woman ooh women of Tanzania and sleeping with that of uganda our souls are hurting....
ha ha ha hivo hivo tu tunaeleweka
vote for diamond platnum

Hahahaha Agiza maziwa kwa mpare hapo nakulipia

Lakini ukumbuke kumpigia kura mtoto wa Tandale , hatuna jinsi ndie tulie nae
 
Am don't voting for david may be until he do colabo with Tanzania sweetheart that honorable of seengida
also I don't vote for chibu because he is sleeping with international woman and leaving us Tanzanians

IAmn voiting fore davido, he knwes my namber onei reimix with diamnd, he make us famoues in nigeria
 
Back
Top Bottom