Can You Break A Broken Heart?

Attachments

  • moyo_uliliotibiwa.jpg
    32.5 KB · Views: 30
WiseLady unaweza kuchangia kuhusu "mioyo mivunjifu" hapa jumvini tafadhali?

Nakuona hapo chini "unapiga chabo"
 
WiseLady unaweza kuchangia kuhusu "mioyo mivunjifu" hapa jumvini tafadhali?

Nakuona hapo chini "unapiga chabo"

Moyo uliovunjika unaweza kuvunjwa tena,,,sababu inawezekana hali yake ya mwanzo ilikuwa umevunjwa kidogo lkn awamu nyingine majeraha yanaweza kusababisha moyo utoke from stones to pebbles or smallest particles.
 
Its possible. Tanzanians are good example. Life is tough to all low income earners in Tanzania but stil life is getting tougher and tougher. Is like breaking the already broken heart.
 
she is very in in counseling, generally si broken heart pekee.... she is talented and professionally trained, i appreciate her talents

Thanx Babu Acid...... mh unanipamba hadi naionea aibu screen yangu bana..... we are trying to learn. But I really appreciate your appreciation. Thanx Man.

BTW---- Mh we Baba Enock.....kwa nini kututega namna hii??

Jibu la swali lako ni ndio na hapana

Ndio: Its possible to break the broken heart again iwapo mwenye moyo huo hayuko makini kwa
1. Kuingia kwenye mahusiano mapya (baada ya kuvinjiwa moyo wake) pasipo kuwa makini na kuchunguza na kumjua vema huyo mdau mwingine anayetaka kumpa huo moyo wenye viraka delicate. Na hii huwa inatokea mara nyingi sana (even me nilishawahiumizwa mara mbili mfululizo- before coming to my senses!!).
......Mara nyingi kama mtu ameingia kwenye mahusiano mapema kwa ajili tu ya kuziba pengo kwa aliyemuuliza, anaishia kuumia iwapo the second man after heartbreaker atatake advantage, atampenda out of pity and not true love.


2. No kwa maana ya huwezivunja moyo uliokwisha vunjika iwapo mwenye moyo huo atakuwa makini kuchambua mahusiano anayoingia baada ya kuumizwa. Mara nyingi mwenye broken heart huwa anakuwa mwoga kupenda tena........so hata akiamua kuingia kwenye mahusiano mapya kama yuko makini na very causious lasima ataingia kwa kubeep kwanza (haweziingia kichwa na miguu - head over heels) kwenye mahusiano mapya. So atauvisha uke moyo shield ambayo hata mpenzi mpya akiamua kuuumiza hatafanikiwa kufikia kile kiwango cha first accidents kwani kuna ngao- na mwenye moyo atagundua mapema kabla damage kubwa haijafanyika .............so maumivu ya pili hayatafanana na ya kwanza kwa uchungu.


But remember: You grow emotionaly every time your heart break but that make you use your mind and think carefully before giving your heart to someone


But kama amempata heartbreaker mzuri, basi ataweza fanya hivyo but after long time.
 
Thanx MJ1 for the staff....hivi kuna hatbreaka mzuri na mbaya?

Babu R.R wapo kabisa.........hatibreka mzuri ni yule anayejua kazi yake... s/he is a professional in breaking them hatiz........ yaani yeye s/he just have them for the sake of having them........... atakutafuta kwa udi na uvumba na kwenda extra mile kukupata only not being serious moyoni.

Ever heard wale wanaofikia hatua ya kuvisha pete za uchumba a number of women? ukimpata wa hivyo hata ukiwa makini vipi kama hajatimiza lengo atakupeti, atakulamba hadi unyayo na kuwa mtakatifu hadi unamkabidhi moyo. Kisha anausigina.....

I remember one guy ambaye alikuwa muslim (sina nia ya kuleta udini hapa I just want to show how one can go an extra mile in pretendance)..... akampenda mkristo........ ndada akawa anagoma kwa kuwa alishaumizwa na mtu wa dini ya kiislamu..the guy akaamua isiwe tabu akabadili dini na kuwa mlokole. not even a normal christian,,,,,,,,,,,,,akakubaliwa na kupewa mke..........after three months akamwambia nilikuwa nataka kukukomesha maringo yako. He went back kwenye dini yake baada ya kuoa mke mwingine
 
BAbu Asprin kwenye hii thread..........nadauti ile thread yako ulioitoa mwaka mpya...............
 
Its possible. Tanzanians are good example. Life is tough to all low income earners in Tanzania but stil life is getting tougher and tougher. Is like breaking the already broken heart.

Avatar yako mkuu Butiama umenikumbusha mbali sana wakati nimekwenda kutembelea hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…