Can You Break A Broken Heart?

Can You Break A Broken Heart?

Naheshimu michango yenu:

Sasa ni kitu gani mtu aliyeumizwa (broken-heart) anastahili kufanya ili aziumizwe tena?

Afanye yale mwenzake anataka afanye basi. Na ajue udhaifu wake uko wapi na kwanini???
 
Asubiri amepona kabisa moyo wake ndio aingie kwenye mahusiano mengine au atafute mtu wa kumpoza akiwa fully aware hata fall in love (rebound relationship) ... Kaazi kwelikweli

Kristin,

Kusubiri can be very painful experience kwani kila mtu anahitaji to be loved!

Kuwa fully aware ni vigumu sana kwani mapenzi yanatawaliwa na hisia za kwanza - kinachofuatia ni uknown!
 
Baba Enock anapenda kufahamu kama inawezekana "kuvunja moyo ulokwisha vunjika"?

Hili swali alilipata katika pitapita zake mitaa ya Mbagala akiwa na wadau...

Naomba kuwasilisha...

Skulimeti wawezaje kuvunja kilichovunjika tayari?

hapo utakuwa unavunja vipande vya moyo, siyo moyo....which is not too bad!
 
Kristin,

Kusubiri can be very painful experience kwani kila mtu anahitaji to be loved!

Kuwa fully aware ni vigumu sana kwani mapenzi yanatawaliwa na hisia za kwanza - kinachofuatia ni uknown!
Kweli kusubiri ni very painful lakini nafikiri ni bora kusubiri kuliko kuwa broken hearted into tiny pieces. na pia unaweza kuwa na mtu anakufukuzia lakini humfeel basi unaweza kumfanya akawa rebound .kwani BabaEnock huajwahi fukuzia demu lakini hataki hata kukuona, lakini mara ghafla anakukubali basi si ajabu anakuwa amepatwa na hayo masaibu
 
inategemea sana ''how minute'' are the boken particles.......!in real life inategemea aliyevunjwa moyo kavunjwa kwa kiasi gani.maanake kuna level fulani ya kuvunjwa moyo mtu anakuwa SUGU.kwamba she no feel anything
 
Baba Enock anapenda kufahamu kama inawezekana "kuvunja moyo ulokwisha vunjika"?

Hili swali alilipata katika pitapita zake mitaa ya Mbagala akiwa na wadau...

Naomba kuwasilisha...

Inawezekana kabisa. Mtu mmoja anakuwa ameuvunja vipande viwili, lakini wakati bado unatafuta the right supaglu to mend it anakuja mwingine anavunjilia mbali tena vile vipande vilivyoshavunjwa!

Baba Enock wamekuvunja? Pole
 
i hope MJ1 will help us on this... she is a good counselor
 
inategemea sana ''how minute'' are the boken particles.......!in real life inategemea aliyevunjwa moyo kavunjwa kwa kiasi gani.maanake kuna level fulani ya kuvunjwa moyo mtu anakuwa SUGU.kwamba she no feel anything


Yeah!!
The Following User Says Thank You to Teamo For This Useful Post:

Maty (Today)​
 
inategemea sana ''how minute'' are the boken particles.......!in real life inategemea aliyevunjwa moyo kavunjwa kwa kiasi gani.maanake kuna level fulani ya kuvunjwa moyo mtu anakuwa SUGU.kwamba she no feel anything

Teamo,

Hii level ya "no feel anything" si ndiyo mauti au? Maana kwenye Tenzi za Rohoni ndiyo tunaambiwa "..across the bridge there will be no sorrow, no pain", lakini as long as upo hai sitegemei itafikia level whereby you feel nothing - that is when:: "being loved, cared for..., is equal to being neglected, hated, abused..."
 
Inawezekana kabisa. Mtu mmoja anakuwa ameuvunja vipande viwili, lakini wakati bado unatafuta the right supaglu to mend it anakuja mwingine anavunjilia mbali tena vile vipande vilivyoshavunjwa!

Baba Enock wamekuvunja? Pole

Darlingtone,

Sijavunjwa, ila nimesoma katika kile kitabu chetu cha "The 8th Habit" kwamba ili utoke kwenye "effectiveness" na kwenda kwenye"greatness" ni lazima "utafuta SAUTI yako na uwasaidie wengine watafute SAUTI zao" - Naamini wapo wengi sana ambao wamevunja, na kwa kutumia mjadala kama huu tunaweza kuwasaidi "kutafuta sauti zao"!
 
Naheshimu michango yenu:

Sasa ni kitu gani mtu aliyeumizwa (broken-heart) anastahili kufanya ili aziumizwe tena?

Kwanza ajue kilichosababisha akavunjwa moyo
Kama kosa lilikuwa lake, ajirekebishe kabla hajavunjwa vipande vya moyo (Kumbuka moyo ulishavunjwa)
Kama kosa si lake amuulize aliyemvunja moyo kwanini ameamua kumvunjia moyo wake,
Apime majibu ya mvunja moyo wake.

Ajiepushe asije akavunjwa vipande vya moyo kwa kuwakimbia wavunja mioyo (asiwe na mahusiano yoyote yanayosababisha uvunjikaji wa moyo)
Apige moyo konde na aamue kuwa sugu na kukubali kuvunjiwa vipande vya moyo, incase ikitokea (kama hawezi kutokuwa na mahusiano, kama mimi babu yenu nisivyoweza)

Ahsanteni kwa kunisikiliza, babu anarudi kitandani.
 
Skulimeti wawezaje kuvunja kilichovunjika tayari?

hapo utakuwa unavunja vipande vya moyo, siyo moyo....which is not too bad!

Skulimeti,

Huku kuvunjwa nadhani uwa wanatumia hili neno "synonimously" na kuvunjika kwa kioo! Nadhani ki-matendo ni hali ambayo mtu aliyekuwa kwenye "mahusiano" anapohitilafiana na mwenzi wake. Sasa hii hitilafu inaweza kuwa imetokana na machukizo makubwa kiasi kwamba hawa watu wawili/au mmoja wao huisi kama dunia imefika mwisho! Huwa "anavunjika moyo"
 
Teamo,

Hii level ya "no feel anything" si ndiyo mauti au? Maana kwenye Tenzi za Rohoni ndiyo tunaambiwa "..across the bridge there will be no sorrow, no pain", lakini as long as upo hai sitegemei itafikia level whereby you feel nothing - that is when:: "being loved, cared for..., is equal to being neglected, hated, abused..."
mkuu wangu BE,

naamini kabisa uko sahihi......!lakin kumbuka kwamba ''A HUMAN IS A CHANGING BEING'' that's why watu hutofautiana kwenye kila idara (kimsimamo,fikra,etc).

kwa mfano nikiyazungumzia matukio yanayonihusu na niliyowahi kuyashuhudia:

-unaumizwa na mtu katika level ambayo mtu mwingine hata aje na manjonjo gaani ya kukuumiza inakuwa kama ni sehemu tu ya marudio.mtu kama huyo huwa haumii kabisa,anakuwa klonik.
 
Skulimeti,

Huku kuvunjwa nadhani uwa wanatumia hili neno "synonimously" na kuvunjika kwa kioo! Nadhani ki-matendo ni hali ambayo mtu aliyekuwa kwenye "mahusiano" anapohitilafiana na mwenzi wake. Sasa hii hitilafu inaweza kuwa imetokana na machukizo makubwa kiasi kwamba hawa watu wawili/au mmoja wao huisi kama dunia imefika mwisho! Huwa "anavunjika moyo"

habari lako mkuu!
broken hearted sio?
Mmmmh, moyo ukivunjwa sijui, labda unaweza kurudishwa tena!
lakini maisha yanakuwa ya tahadhari sana,
watoto wa mjini wanasema nje - ndani!!!!!!!!!!!!!
 
am only gonna break break break ur hut!
Baba Enock anapenda kufahamu kama inawezekana "kuvunja moyo ulokwisha vunjika"?

Hili swali alilipata katika pitapita zake mitaa ya Mbagala akiwa na wadau...

Naomba kuwasilisha...
 
Darlingtone,

Sijavunjwa, ila nimesoma katika kile kitabu chetu cha "The 8th Habit" kwamba ili utoke kwenye "effectiveness" na kwenda kwenye"greatness" ni lazima "utafuta SAUTI yako na uwasaidie wengine watafute SAUTI zao" - Naamini wapo wengi sana ambao wamevunja, na kwa kutumia mjadala kama huu tunaweza kuwasaidi "kutafuta sauti zao"!

Skulimeti labda nikuulize:

Ulishawahi kuvunjwa moyo?
Ulishawahi kumvunja mtu moyo?
 
Kuna mioyo mingine inavunjwa into tiny pieces...actually beyond repair....its almost impossible to turn things around.....

Ndo ile mtu anakuwa kichaa daima dawamu.
 
Ndo ile mtu anakuwa kichaa daima dawamu.

Mi nshawahi kuvunjwa moyo sana. Ndio maana nampenda mwokozi wangu wa kutonifanya kreze: Alkoholi tokea Serengeti Lager / Valeur Brandy.
You break my heart, I drink them lots of alcohol....I break yours!
 
inategemea sana ''how minute'' are the boken particles.......!in real life inategemea aliyevunjwa moyo kavunjwa kwa kiasi gani.maanake kuna level fulani ya kuvunjwa moyo mtu anakuwa SUGU.kwamba she no feel anything

The Following 2 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

LD (Today),​
 
Back
Top Bottom