Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
[emoji23][emoji23] si ndio hapo sasaInawezekana hakujua nini alichoandika.
Maana hata yeye anajishangaa.
Usd 500,000 hiyo ni zaidi y Billion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] si ndio hapo sasaInawezekana hakujua nini alichoandika.
Maana hata yeye anajishangaa.
Usd 500,000 hiyo ni zaidi y Billion
Kama ni drug dealer hela ndogo sana io mkuuUsd laki 5 hela ya madafu? Tena ni kwa mwezi?
Hata kwa trump wale ambao wako well off ndo wanaingiza kiasi hicho.
Huyu hapa naye ni hatari [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kuna na Tuttyfruity. Huyu kuna siku alinifanya nicheke hadi nikagaragara chini.
Naona unatumia nguvu nyingi kumshawishi hahaKwa hiyo umeshakubaliana na sisi?
Bibie umeolewa ? Kama hujaolewa naomba nikuoe nifunge mahesabu, uwe mke wa nne(4).Binafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.
Msimamo wangu uko pale pale kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli. Kama ambavyo wanaume huwa mnaangalia sura na matako kwa wanawake (utadhani wamejiumba) basi acheni na wanawake waangalie pesa na vingine wanavyovijua wao kwa wanaume maana vyote hivyo siyo vigezo vya mtu kuwa mke mwema wala mume mwema.Zoe iko Hivi, I mean as long as you make ur money and can buy ur own stuff and not ask ur girl for money or stuff , it’s a great way to start a relationship, but if u see a girl judging u by ur social status and what job u have , then definitely that’s not the girl for u ..........lately I seen that girls attraction towards man is based on social status ....am like really? So me having cool connections and cool friends will make a girl wet instead of making her wet for the way that I am and look .......if an unattractive girl with shitty personality had lots of social status , u think that would turn me on? It’s really weird these days kwa hawa wadada wa sasa.
Una hela za kuhudumia wake wanne? Au kwa vile umeona amesema hajui kuomba hela umeona mteremko.Bibie umeolewa ? Kama hujaolewa naomba nikuoe nifunge mahesabu, uwe mke wa nne(4).
Mapenzi ya kweli yapo bibie. Tena yapo wazi kabisa.Msimamo wangu uko pale pale kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli. Kama ambavyo wanaume huwa mnaangali
Waulize wakiomba picha. Ukituma selfie anataka picha full.Msimamo wangu uko pale pale kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli. Kama ambavyo wanaume huwa mnaangalia sura na matako kwa wanawake (utadhani wamejiumba) basi acheni na wanawake waangalie pesa na vingine wanavyovijua wao kwa wanaume maana vyote hivyo siyo vigezo vya mtu kuwa mke mwema wala mume mwema.
Akinikubalia atakuja kukupa mrejesho.Una hela za kuhudumia wake wanne? Au kwa vile umeona amesema hajui kuomba hela umeona mteremko.
Asifanye makosa tuliyofanya sisi.Naona unatumia nguvu nyingi kumshawishi haha
Mahali gani apo ndugu?Daaaaah kuna mahali wanawake mnatutesea sana shauri yenu bana, ts a matter of time 😉😉😉😉
Unapajua bana.Mahali gani apo ndugu?
Haya.Akinikubalia atakuja kukupa mrejesho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haya mambo ya kusema ataenda kujibu kwa Mungu unajuaje labda atakuja kutubu kabla hajafa hivyo atasamehewa. Mimi kwa kweli kabla hajafika kwa Mungu lazima nimnyooshepo kidogo.
Inapendeza. Una swali lingine bibie ?Haya.
Mapenzi ya kweli yapo sana sema tuyafurahie si kutuendesha kama gari bovu tu.Msimamo wangu uko pale pale kuwa siku hizi hakuna mapenzi ya kweli. Kama ambavyo wanaume huwa mnaangalia sura na matako kwa wanawake (utadhani wamejiumba) basi acheni na wanawake waangalie pesa na vingine wanavyovijua wao kwa wanaume maana vyote hivyo siyo vigezo vya mtu kuwa mke mwema wala mume mwema.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usd 500,000 or TSH 500,000?
Mbona nilishakukatalia tangu mwanzo kuwa mke wa piliBibie umeolewa ? Kama hujaolewa naomba nikuoe nifunge mahesabu, uwe mke wa nne(4).