Safi kabisa na wanaume wengine nao wajifunze hilo. Mtu huna pesa hiyo nanii inapata wapi nguvu za kusimama.Issue sio uchoyo, issue hapa ni namna ya ninyi mnavyotuomba hela, ila kuna rafiki yangu mnaijeria anakuambia kwamba, kama hana pesa mboo haisimami ***** [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sawa twin kwa ajili yako nitaacha[emoji17]mbaya twin ake usitukane watu sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]shoga kuna nini hapa ..nilikua natolea jasho pesa fulan hapa kwa shemejiyo
kwa hyo pesa mnaifananisha na maji? 😛 😛 😛Wewe ukinyimwa hicho unachokitaka kama maji unajisikiaje?
Sawa twin kwa ajili yako nitaacha[emoji17]
Ila boy wako akikuambia leo hana pesa muwage mnawaelewa jamani, sio kila mwanaume anakuwa na pesa ya kukupa wewe mpenzi/mke wake tu.Safi kabisa na wanaume wengine nao wajifunze hilo. Mtu huna pesa hiyo nanii inapata wapi nguvu za kusimama.
Thank you twin[emoji7][emoji7][emoji3059][emoji182]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mbona unafanya personal attacks hebu tupishe bwana. Tulishaanza kuwapongeza wanaume leo tumefika comments 500 ni hoja tu hakuna matusi we unaanza kuharibu hebu tutokee hapa.Hapo unakuta ushaota sugu huko chini kilometa zinasoma laki mbili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukikosa pesa utakunywa maji?kwa hyo pesa mnaifananisha na maji? [emoji14] [emoji14] 😛
Ila za kuwapa michepuko mnazo? Hamuaminiki nyie viumbe!Ila boy wako akikuambia leo hana pesa muwage mnawaelewa jamani, sio kila mwanaume anakuwa na pesa ya kukupa wewe mpenzi/mke wake tu.
Y nisinywe wakati maji yako ndani ya fliji jamaniUkikosa pesa utakunywa maji?
Issue sio kumpa sidechick issue ni aina ya pesa unayniomba mimi na sio kila ukiomba pesa utapewa tu.Ila za kuwapa michepuko mnazo? Hamuaminiki nyie viumbe!
Hao ndio wanaume sasa sio hawa wenye stress wanaoishia kututukana kama sie ndio tumewanyima akili[emoji1787][emoji1787]Hornet kaingia mule mulee
Jaman mi wangu Akiona mfano natumia au nimenunua vitu halaf hajanipa yeye pesa anakasirika inakuwa ugomvi na kusema umetoa wapi pesa ?mpaka namuambiaga jamani hata mi nna vihela vyangu
Tamu sanaaaa, karoho kanajisikia burudaaaaani.We hujui tu pesa ya mwanaume au ya kupewa tu ni tamu balaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Ah Ladyred habishanagi sana halafu mara nyingi yuko serious. Tuttyfruity hana akili nyie jamani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ule uzi wa kuoa wanawake mabikira umesahau alivyoenda nao sambamba halafu kila comment anayotoa afadhali ya iliyopita. Haki ile siku nilicheka hadi niligaragara jamani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]