Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wana kelele sana.Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wana kelele sana.Anataka kunitapisha beer zangu kisa kizungu cha kugoogle waiii
mi huwa nawaambia wanaume wasio na hela wana maneno Mengi sana
Hawa ndo Mario wa Jf[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu muingereza wa Marangu bwana!! Jf ina vituko.
Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hadi kitu kidogo kama hiki unakopy?
Haubadilishi hata maandishi makubwa?
Kumbe kuna wanaotekeka nitafanya mpango nami niwatekeHawa ndo Mario wa Jf
kujifanya ana mahaba awateke wale wa mapenzi ya kikorea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una umri gan saint annaKila mtu ana style Yake ya maisha..
Kila watu Wana namna wanakubaliana kuendesha mahusiano yao.
Kwahiyo inategemeana.
Nyie wanawake ni kiboki mleta mada bora afungue ID nyingine tuYeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
Bladibasiketi hawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa ndo Mario wa Jf
kujifanya ana mahaba awateke wale wa mapenzi ya kikorea
Hivi ni kwa nini wanaume wanaongoza kwa upuuzi humu Jf?Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
unatengeneza njia ukifika pm ni kuteleza tuKumbe kuna wanaotekeka nitafanya mpango nami niwateke
Ukiona mtu anasumbua unatafuta kitu cha kumfunga mdomo.Bora mie nishawachoka
Ulimwambia aachane na vingereza hakukuelewa, ona sasa anaumbuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie wanawake ni kiboki mleta mada bora afungue ID nyingine tu
Huwa nikiwasoma humu basi nawatizamaa wanaume ninaowaona nawaza hivi ndio hawa wa kule jf au ni specie tofauti[emoji134][emoji134][emoji134] nabaki tu nakihurumia kizazi chetu.Hivi ni kwa nini wanaume wanaongoza kwa upuuzi humu Jf?
ndiyo reflection ya wanaume katika jamii zetu?
Mkuu mwambie huyo mtoto usivunge tu kaka, kuwa mkweli sema nae acha uoga mkuu 😛 😛 😛 😛
😁😁 nahisi Kuna mabahiria washaniwahi ila mtoto ni bonge la wife material sema basi tuu.Mkuu mwambie huyo mtoto usivunge tu kaka, kuwa mkweli sema nae acha uoga mkuu 😛 😛 😛 😛
Asante kwa muongozounatengeneza njia ukifika pm ni kuteleza tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiona mtu anasumbua unatafuta kitu cha kumfunga mdomo.
Mungu aniepushie mvulana wangu.Huwa nikiwasoma humu basi nawatizamaa wanaume ninaowaona nawaza hivi ndio hawa wa kule jf au ni specie tofauti[emoji134][emoji134][emoji134] nabaki tu nakihurumia kizazi chetu.
Alitaka awatekeUlimwambia aachane na vingereza hakukuelewa, ona sasa anaumbuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amen kwakweli.Mungu aniepushie mvulana wangu.
Kafuta lakini kachelewa. Madam mnoko nishapita nazo.Post zake za juu kafuta.
Usd 500,000 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]