Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Hadi kitu kidogo kama hiki unakopy?
Haubadilishi hata maandishi makubwa?
Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
 
Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
Nyie wanawake ni kiboki mleta mada bora afungue ID nyingine tu
 
Yeleiwiiii[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Alikuwa anajifanya kuongea vingereza vingi na kujifanya sijui yuko nchi gani kumbe hapo Marangu sebuleni kwa shemaji yake baada ya kushiba machalari[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimemkumbuka yule mswisi
Hivi ni kwa nini wanaume wanaongoza kwa upuuzi humu Jf?
ndiyo reflection ya wanaume katika jamii zetu?
 
Back
Top Bottom