Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Labda,ila sidhani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni suala la muda tu [emoji23][emoji23][emoji23] tutaungana.
Nilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli wa mtu uko kwa mtu mwenyewea
Najisikia kawaida tu maana jukumu la kunitunza ni la wazazi wangu..
Wananitunza vizuri sijawahi kosa chochote.
Naeza nikawa na Shida imenibana nitaomba nyumbani..No ukiwa na shida imekubana pua na mdomo muombe tu nadhani kama sio tabia yako atajisikia vizuri kusaidia na sio tabia mbaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlikuwa watoto vipi sas hiviNilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu
AiseeeNilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu
Weeee acha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo hapo itakiwa kesi ya usaliti.
Nitaachana naye si kwangu sababu hajanipa hela ila kwako sababu ya kunisaliti.
[emoji23][emoji23] tutakua tunaziona zikiwa zimefunikwa na pichu.Hivi unahabari mkuu ikiwa hivyo sisi wenye sura ngumu papuchi utabaki kuwa msamiati wa kinadharia!..
Mwishowe tuje tuanze kubishana "hivi papuchi zipo au hazipo"[emoji23]
Yawache tu mambo yawe vivyohivyo tunapata msaada sana sisi wenye sura za zinjathropus..[emoji12]
Aaaah kabisa, baby lazima aokoe jahazi.Sasa ninashida nimebanwa labda nacheza mchezo nimezungushwa nadaiwa kodi unategema nifanyaje?
Na baby yupo.
Ni kudraft tu maombi.
Tunalia moyoni sema usoni tunatabasam kinafiki.Mwanaume asiyekupa hela na wewe humuombi amini kuna sehemu anapeleka.
Wanaume wanaona fahari sana tukitumia hela zao.
Hata hawaumii huwa wanaona fahari sana nyie tu hamjui.
[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kwasababu na wewe humpi tunda.. So ngoma droo
Kama nimekosea niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Unanitisha Sasa dada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeee acha.
Utaumia mara mbili.
Bora uombe mapema upunguze machungu
Wacha bwana!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo hapo itakiwa kesi ya usaliti.
Nitaachana naye si kwangu sababu hajanipa hela ila kwako sababu ya kunisaliti.
Au ndo weweππAiseee
Huyo naona naendana Naye kwa asilimia nyingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Hebu acheni kuwaendekeza hawa viumbe, ndio maana wanakauwa viumbe vya ajabu ajabu. Hebu siku moja moja kama hajiongezi mstue na hitaji la hela ilochangamka nae achangamke ajue yeye ni nani.
Kweli kabisa, hela zao tamu sana. Watupatie tu na watabarikiwa[emoji1787]Mwanaume asiyekupa hela na wewe humuombi amini kuna sehemu anapeleka.
Wanaume wanaona fahari sana tukitumia hela zao.
Hata hawaumii huwa wanaona fahari sana nyie tu hamjui.
[emoji3]
HapanaAu ndo wewe[emoji23][emoji23]
NakupendaBinafsi yangu siwezi kuomba hela kwa mwanaume/mpenzi hata niwe na shida vipi.
Mwanaume anayetegemea nitamuomba hela,atasubiri Sana..
Labda anipe tu mwenyewe.
πππ yeye bado anapambana na chuo sa sijui bado yupo vile vile ama vp, Mimi nipo mtaan napambana nanyie wapenda pesa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlikuwa watoto vipi sas hivi