Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

Ni suala la muda tu [emoji23][emoji23][emoji23] tutaungana.
Labda,ila sidhani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nisibishe Sana maana sijafika huko Ila Mimi huwa sitoki not ya misimamo yangu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli wa mtu uko kwa mtu mwenyewea
Nilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu
 
Ni kwasababu na wewe humpi tunda.. So ngoma droo

Kama nimekosea niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Najisikia kawaida tu maana jukumu la kunitunza ni la wazazi wangu..
Wananitunza vizuri sijawahi kosa chochote.
 
  • Thanks
Reactions: amu
No ukiwa na shida imekubana pua na mdomo muombe tu nadhani kama sio tabia yako atajisikia vizuri kusaidia na sio tabia mbaya.
Naeza nikawa na Shida imenibana nitaomba nyumbani..
Nyumbani nina wazazi,nina kaka zangu na dada zangu,nikishindwa huko nina rafiki zangu wachache Sana ambao huwa tunakopeshana wakati wa Shida.
 
Nilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlikuwa watoto vipi sas hivi
 
Nilishakua na manzi type yako yan yeye haniombi pesa kamwe adi nijiongeze mwenyewe sometimes anakataa hela yenyewe, ananiambia yohimbe wewe bado unasoma nikikuomba hela kama nakuonea tuu coz huna source yoyote ya kipato after all mimi nimekupenda ww sijapenda pesa, ukipata kazi utanisaidia nitakapo kwama.Tatizo lake alikua hatoi papuchi ananiambia atanipa mpk akimaliza chuo ndo malengo alojiwekea coz alikua bado bikra ndo sababu ya mm kuachana nae F wangu
Aiseee
Huyo naona naendana Naye kwa asilimia nyingi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo hapo itakiwa kesi ya usaliti.
Nitaachana naye si kwangu sababu hajanipa hela ila kwako sababu ya kunisaliti.
Weeee acha.
Utaumia mara mbili.
Bora uombe mapema upunguze machungu
 
Hivi unahabari mkuu ikiwa hivyo sisi wenye sura ngumu papuchi utabaki kuwa msamiati wa kinadharia!..
Mwishowe tuje tuanze kubishana "hivi papuchi zipo au hazipo"[emoji23]

Yawache tu mambo yawe vivyohivyo tunapata msaada sana sisi wenye sura za zinjathropus..[emoji12]
[emoji23][emoji23] tutakua tunaziona zikiwa zimefunikwa na pichu.
 
Ni kwasababu na wewe humpi tunda.. So ngoma droo

Kama nimekosea niambie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Swali lilikuwa sio Hilo ..swala lilikuwa nitajisikiaje..
 
Weeee acha.
Utaumia mara mbili.
Bora uombe mapema upunguze machungu
Unanitisha Sasa dada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu acheni kuwaendekeza hawa viumbe, ndio maana wanakauwa viumbe vya ajabu ajabu. Hebu siku moja moja kama hajiongezi mstue na hitaji la hela ilochangamka nae achangamke ajue yeye ni nani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Back
Top Bottom